tanroads

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jamii Opportunities

    Valuer II at TANROADS

    The regional Manager’s office TANROADS - Kigoma, on behalf of the Chief Executive TANROADS, intends to recruit suitably qualified and competent Tanzanians to fill the post of valuer for the period of three years with possibility of contract renewal. Job title: Valuer ii (one) 1 post Key...
  2. S

    Ajali iliyoua watu 6 Dodoma: Wanaopaswa kukamatwa na kuwekwa ndani ni Mfugale na Meneja wa Dodoma wa TANROADS Dodoma, sio dereva wa lori

    Nimesoma habari kuwa ajali imetokea huko Dodoma usiku wa Jumapili 29 December wakati lori lenye namba T364 AZZ lilipokuwa likijaribu kukwepa shimo kubwa barabarani liliigonga Coaster yenye namba T846AYU na watu sita kufa hapo hapo. KUna majeruhi wako hospitali wengine ICU. Kutokana na tukio...
  3. Tabutupu

    Muundo mpya wa makutano ya Mbezi Mwisho. Hongera sana Tanroad kwa usikivu

    K2a hissani ya lethy mleta mchoro ni kwamba hatimaye mbezi mwisho haitakua na mataa kama design ya mwanzo. Design mpya inaonyesha morogoro road itapandishwa juu na goba-malamba mawili kinyerezi itakua underpass. Kama ni hivi kwa niaba ya wapenda maendeleo wote naomba niwapongeze tanroad kwa...
  4. majutobeach

    Serikali itazame TANROADS kwa manyanyaso haya barabarani

    Sisi madereva wa magari makubwa hususani malori tunanyanyasika sana barabarani imefikia hatua hata ya kuichukia serikali yetu inayoongozwa na mtukufu Rais Dkt. John Pombe Magufuli tunaimani sana na Rais wetu huyu kwa utendaji kazi wake wenye kuleta maendeleo nchini na mtetezi wa wanyonge lakini...
Back
Top Bottom