Ndugu zangu,
Kipekee, napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa kutupa uhai na chakula.
Hili suala la kumsubiri Mh. Raisi ndiyo atatue kero za wanachi katika eneo husika na huku wateule wake aliowateua ili kumsaidia hizi kazi, huwa linanipa maswali mengi sana. Mojawapo ya maswali hayo ni:
Kumbukeni kuna vijana wengi sana wazuri tu wako mtaani hawajapata fursa kama za kwenu. Kwahiyo, fanyeni kazi kwa kujituma sana, msaidieni Mh. Raisi katika kutekeleza nia yake ya dhati ya kuleta maendeleo makubwa katika taifa letu. Tangia Mh. Raisi aingie madarakani, zama za business as usual, zimekwishapita, lakini watu bado wagumu sana kuelewa. Muda wa kuwachekea watu na kuwabebabeba zimekwishapita, na tena tumeingia kwenye uchumi wakati, mtu asiyeendana na kasi hii, bora piga chini na igiza new face. Kunauwezekano wa watu wameshakaa siku nyingi kwenye kazi mbalimbali za serikali mpaka wameshajisahau.
Katika kipindi hiki cha changamoto ya kupata ajira, nilitegemea watu wangekuwa wanafanya kazi to the excellence ili kumaintain kazi zao. Kuna haja ya kazi za serikali kuwa za muda mfupi, naamini mikataba inapokuwa mifupi, watu wangekuwa wanafanya kazi kwa bidii sana kama kwenye private sectors. Watumishi wa umma wanabweteka sana na high security ya kazi zao, na hii kitu ndo kinafanayanga watumishi wengi sana wa umma kuwa wazembe, it's time to review their contracts ziwe za muda mfupi. Mahali nipofanya kazi mimi huwa ni one year contract, but renewable depending on your performance. Ikioneka hujatimiza malengo yako uliyopewa, no renewal of your contract. Kwa kufanya hivi, mtu lazima ufanye kazi to the excellence.
Namalizia kwa kurudia tena, watumishi waumma mpunguzieni zigo Mh. Raisi, baadhi yenu mnatia aibu kabisa nendeni na kasi ya Mh. Raisi katika kuleta maendeleo katika taifa letu.
Asanteni sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Kipekee, napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa kutupa uhai na chakula.
Hili suala la kumsubiri Mh. Raisi ndiyo atatue kero za wanachi katika eneo husika na huku wateule wake aliowateua ili kumsaidia hizi kazi, huwa linanipa maswali mengi sana. Mojawapo ya maswali hayo ni:
- Je watumishi hawa huwa hawajui Job description zao?
- Kama wanazijua, kwanini huwa hawapo proactive?
- Je kunauwezekano kukawa na poor reporting strategies za kazi zao?
- Au wengine ni watu ambao wapo tu pale kwa ajili ya kuihujumu nchi?
Kumbukeni kuna vijana wengi sana wazuri tu wako mtaani hawajapata fursa kama za kwenu. Kwahiyo, fanyeni kazi kwa kujituma sana, msaidieni Mh. Raisi katika kutekeleza nia yake ya dhati ya kuleta maendeleo makubwa katika taifa letu. Tangia Mh. Raisi aingie madarakani, zama za business as usual, zimekwishapita, lakini watu bado wagumu sana kuelewa. Muda wa kuwachekea watu na kuwabebabeba zimekwishapita, na tena tumeingia kwenye uchumi wakati, mtu asiyeendana na kasi hii, bora piga chini na igiza new face. Kunauwezekano wa watu wameshakaa siku nyingi kwenye kazi mbalimbali za serikali mpaka wameshajisahau.
Katika kipindi hiki cha changamoto ya kupata ajira, nilitegemea watu wangekuwa wanafanya kazi to the excellence ili kumaintain kazi zao. Kuna haja ya kazi za serikali kuwa za muda mfupi, naamini mikataba inapokuwa mifupi, watu wangekuwa wanafanya kazi kwa bidii sana kama kwenye private sectors. Watumishi wa umma wanabweteka sana na high security ya kazi zao, na hii kitu ndo kinafanayanga watumishi wengi sana wa umma kuwa wazembe, it's time to review their contracts ziwe za muda mfupi. Mahali nipofanya kazi mimi huwa ni one year contract, but renewable depending on your performance. Ikioneka hujatimiza malengo yako uliyopewa, no renewal of your contract. Kwa kufanya hivi, mtu lazima ufanye kazi to the excellence.
Namalizia kwa kurudia tena, watumishi waumma mpunguzieni zigo Mh. Raisi, baadhi yenu mnatia aibu kabisa nendeni na kasi ya Mh. Raisi katika kuleta maendeleo katika taifa letu.
Asanteni sana,
Nawasilisha,
Kejuu