Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,593
- 4,645
maendeleo hayana kabilamsukuma kazini...
kuna sura fulani inajengwa Dar es salaam (miundombinu), kwa wale ambao hawapo Dar ktk miaka hii michache wakifika/kurudi watastaajabu!Magufuli anatupaisha kiuchumi
Sir nini kinastaajabisha? Mabarabara?kuna sura fulani inajengwa Dar es salaam (miundombinu), kwa wale ambao hawapo Dar ktk miaka hii michache wakifika/kurudi watastaajabu!
jamaa una kumbukumbu 🤨, nahisi wakandarasi walikuwa na strategies zaoIle aliyotuonesha Magufuli kwenye TV. Ilikuwa inapita juu hadi lilipokuwa jengo la Tanesco.
hapana, namaanisha mabadiliko/uboreshaji ya miundo mbinu kwa kiasi chakeSir nini kinastaajabisha? Mabarabara?
Magu sifa nyiiingi uwezo hamna.jamaa una kumbukumbu 🤨, nahisi wakandarasi walikuwa na strategies zao
inasemekana kuna cabinet ya wahandisi walikaa na kushauriana juu ya ile ramani ya kwanza..., na ikagundulika kuwa eneo ni dogo sababu ukiwa nelson mandela rd, kushoto kuna mitambo ya umeme (tanesco) na kulia kuna mitambo ya gas (songas). kwa hyo wakaja na idea nyingine ya ramani ambayo alitakiwa kuja nayo mkandarasi.Magu sifa nyiiingi uwezo hamna.
Angejenga ile ndio tungempa credit anakuja kutujengea sijui kitu gani angetoa hata notice kwa umma sasa
Magu sifa nyiiingi uwezo hamna.
Angejenga ile ndio tungempa credit anakuja kutujengea sijui kitu gani angetoa hata notice kwa umma sasa
kwa hiyo?Wacha story mingi,sema hawana hela za kujenga dude kama lile.
Duh binadamu hamuishi visaMagu sifa nyiiingi uwezo hamna.
Angejenga ile ndio tungempa credit anakuja kutujengea sijui kitu gani angetoa hata notice kwa umma sasa
Angejenga lile ningehamia CCM alichokitoa ni utopolo 😂Wacha story mingi,sema hawana hela za kujenga dude kama lile.
Kwa hiyo kumbe Magufuli ni mkurupukaji na anakotupeleka siko?inasemekana kuna cabinet ya wahandisi walikaa na kushauriana juu ya ile ramani ya kwanza..., na ikagundulika kuwa eneo ni dogo sababu ukiwa nelson mandela rd, kushoto kuna mitambo ya umeme (tanesco) na kulia kuna mitambo ya gas (songas). kwa hyo wakaja na idea nyingine ya ramani ambayo alitakiwa kuja nayo mkandarasi.
Hebu tutumie ule mchoro wa mwanzoIle aliyotuonesha Magufuli kwenye TV. Ilikuwa inapita juu hadi lilipokuwa jengo la Tanesco.