TLS ni chama cha wanasheria kweli? TLS Wanajua maana ya siasa za biashara

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko lawa school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hucho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Hapo nakuunga mkono,vipi kuhusu ukomo wa mkataba?
 
Hapo nakuunga mkono,vipi kuhusu ukomo wa mkataba?
Angalia hiyo
Screenshot_20230701_045112_Gallery.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230701_045112_Gallery.jpg
    Screenshot_20230701_045112_Gallery.jpg
    38.6 KB · Views: 2
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Mwishowe mtaonekana kama vichaa.

Hii siyo kawaida hata kidodo.

Kwa mtu anayejitoa tu akili kwa maksudi hawezi kuhangaika kiasi hiki na jambo ambalo lishaelezwa kwa kina kabisa, tena siyo na mtu mmoja, bali makundi ya watu ambao wana ujuzi wa jambo husika.

Kitu cha kujiuliza sasa hivi kwa mtu aliye na akili ya kufikiri ni hiki: Hivi kuhangaika kote huku watu walio na akili zao timamu wanakuonaje wewe?
Unadhani wataacha kuamini walichokielewa, halafu wakufuate wewe unayeonyesha kupungukiwa na akili kichwani?
 
Mwishowe mtaonekana kama vichaa.

Hii siyo kawaida hata kidodo.

Kwa mtu anayejitoa tu akili kwa maksudi hawezi kuhangaika kiasi hiki na jambo ambalo lishaelezwa kwa kina kabisa, tena siyo na mtu mmoja, bali makundi ya watu ambao wana ujuzi wa jambo husika.

Kitu cha kujiuliza sasa hivi kwa mtu aliye na akili ya kufikiri ni hiki: Hivi kuhangaika kote huku watu walio na akili zao timamu wanakuonaje wewe?
Unadhani wataacha kuamini walichokielewa, halafu wakufuate wewe unayeonyesha kupungukiwa na akili kichwani?
Umesoma uchambuzi wa TLS?au unasimuliwa kama wanavyokuhadithia mambo ya mkataba wa bandari

Usisikilize watu ,Nenda kasome mwenyewe

Usikubali watu wakufanye wewe kibwetere ,Nina hakika wewe sio mjinga huwezi kukubali kufunga hadi kufa utasubiri aanze kwanza makenzie

Nenda kasome uchambuzi wa TLs achana na wanaokuhadithia
 
Kwa nini unaniuliza kama nimesoma, unadhani mimi ni kichaa kama wewe?

Hapa umezungumzia hicho kipande pekee na kuanza kuwaita watu majina!
Wewe umesoma taarifa yote iliyotolewa na TLS?
Jikite kwenye hoja mbona unatoa povu mkuu

Inakuuma waarabu kuja nchini Tanzania au?

Na waarabu wakifika Dar watatusaidia kujenga misikiti mingi

Mnapenda nyie tu mshine sasa ni zamu yetu ku shine

Kama Nkataba unakuuma ,Narudia kama NKATABA unakuuma hamia Burundi

Nasikia wagalatia mna roho ngumu basi nendeni Burundi mtuache na waarabu wetu

Sandles na kanzu ndio litakuwa vazu rasmi bandarini

Hutaki kanzu nenda kafanye kazi kwa wagalatia wenzako
 
Kwa nini unaniuliza kama nimesoma, unadhani mimi ni kichaa kama wewe?

Hapa umezungumzia hicho kipande pekee na kuanza kuwaita watu majina!
Wewe umesoma taarifa yote iliyotolewa na TLS?
a hata ukiangalia hicho kipande pekee unachotumia kama ushahidi wa kudharau watu wenye taaluma zao, wewe huoni mkanganyiko uliop?
Ni serikali hiyo hiyo inayosema haya ni "Makubaliano kati ya serikali mbili", na kwamba siyo "mikataba ya uwekezaji wa miradi mbali mbali" Kama ni makubaliano ya serikali mbili kuna haja ya kupeleka mashauri nje ya serikali hizo mbili?
Huoni ubabaishaji uliopo hapa?
 
Jikite kwenye hoja mbona unatoa povu mkuu

Inakuuma waarabu kuja nchini Tanzania au?

Na waarabu wakifika Dar watatusaidia kujenga misikiti mingi

Mnapenda nyie tu mshine sasa ni zamu yetu ku shine

Kama Nkataba unakuuma ,Narudia kama NKATABA unakuuma hamia Burundi

Nasikia wagalatia mna roho ngumu basi nendeni Burundi mtuache na waarabu wetu

Sandles na kanzu ndio litakuwa vazu rasmi bandarini

Hutaki kanzu nenda kafanye kazi kwa wagalatia wenzako
Huwa sina muda na upumbavu wa aina hii.
Tafuta wengine unaoweza kujadili huo ujinga nao siyo mimi.
 
Huwa sina muda na upumbavu wa aina hii.
Tafuta wengine unaoweza kujadili huo ujinga nao siyo mimi.
Hakuna muwekezaji atakubali mgogoro usifuate sheria za kimataifa

Sheria za kimataifa ndio zinatumika

Wabunge ndio wawakilishi wetu na tuliwapigia kura wameshatuwakilisha na wamekubaliana na vipengele vyote

Bunge ndio taswira ya nchi ,kila mkoa umewakilishwa na tayari tuliowachagua wameshapitisha

Yatupasa kuwapongeza wabunge tuliowachagua sio hao TLS

Acha kuogopa waarabu,Bandari yenyewe ilijengwa na waarabu hiyo
 
Jikite kwenye hoja mbona unatoa povu mkuu

Inakuuma waarabu kuja nchini Tanzania au?

Na waarabu wakifika Dar watatusaidia kujenga misikiti mingi

Mnapenda nyie tu mshine sasa ni zamu yetu ku shine

Kama Nkataba unakuuma ,Narudia kama NKATABA unakuuma hamia Burundi

Nasikia wagalatia mna roho ngumu basi nendeni Burundi mtuache na waarabu wetu

Sandles na kanzu ndio litakuwa vazu rasmi bandarini

Hutaki kanzu nenda kafanye kazi kwa wagalatia wenzako
We ni lofa soma mada jibu hoja mbona kaeleza vizuri tu.
Soma uelewe sio kujibu tu Mradi unahamu kutiwa vidole na wavaa kobazi.
Kanzu sh 15k hapo kkoo huwezi kuvaa mpaka uletewe fala wewe
 
We ni lofa soma mada jibu hoja mbona kaeleza vizuri tu.
Soma uelewe sio kujibu tu Mradi unahamu kutiwa vidole na wavaa kobazi.
Kanzu sh 15k hapo kkoo huwezi kuvaa mpaka uletewe fala wewe
Siwezi kubishana na mgalatia,Watu waliokuja pwani hawajui kutawaza wala kuoga ,Wamefundishwa mila za kiarabu za kuoga na kutawaza eti leo wanamuogopa huyo huyo aliyewajengea hiyo bandari

Dp world on Fire ????????
Wakifika Dp world tutaongea lugha moja na wagalatia pale bandarini
 
Siwezi kubishana na mgalatia,Watu waliokuja pwani hawajui kutawaza wala kuoga ,Wamefundishwa mila za kiarabu za kuoga na kutawaza eti leo wanamuogopa huyo huyo aliyewajengea hiyo bandari

Dp world on Fire ????????
Wakifika Dp world tutaongea lugha moja na wagalatia pale bandarini
Ongea lugha moja na hao jamaa.
Mle tende halua pamoja.
Sijui hata kama unaelewa kinachoongelewa
 
Mjinga mmoja hivi anayefault statement ya professional organization.
 
Siwezi kubishana na mgalatia,Watu waliokuja pwani hawajui kutawaza wala kuoga ,Wamefundishwa mila za kiarabu za kuoga na kutawaza eti leo wanamuogopa huyo huyo aliyewajengea hiyo bandari

Dp world on Fire ????????
Wakifika Dp world tutaongea lugha moja na wagalatia pale bandarini
Hivi sasa siyo matatizo na mapungufu yaliomo ndani ya mkataba . Bali ni ushabiki wa mwarabu ?!. Mbona uwezo wenu ni mdogo hivi ?!

Kwa u Arab, u China au u Zungu wa muwekezaji unakuwekea chakula mezani ?! Acheni ujinga jadilini hoja ya mapungufu ya mkataba.
 
Naona umejadili kipengele kimoja pekee na kuishia kuwaita wengine wajinga, vipi vile vingine hujaviona?

Tukianzia na muda wa mkataba, umeona utakuwa wa muda gani? au ndio mpaka maji ya bahari yatakapokauka kama ilivyoainishwa kwenye ule mkataba!.

Na lile la kuwajulisha waarabu kwanza juu ya fursa zote za kiuchumi zitakazojitokeza, huu utumwa wa kifikra mnataka nani mwingine anayejielewa awe tayari kuubeba karne hii?

Wacheni huu ujinga wenu.
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Hakuna kitu hapo. Kwataarifa yako Bandari hapewi mwarabu hapa. Watanzania tumewaelewa vizuri sana hawa TLS na wadau wengine wanaoona mapungufu makubwa ya mkataba. Na hili inaonyesha hawa DPW na serikali yao ni matapeli na hawatufai. Unless uwe ni mkakati wenu maalumu wa kuiuza nchi kwa waarabu.
 
GUSSIE ,

..ninavyokumbuka mwaka 2017 magufuli na kabudi waliandika sheria inayoelekeza kuwa migogoro na wawekezaji itaamuliwa ktk mahakama za Tanzania.

..sheria huwa haivunjwi, bali hubadilishwa. kama mkataba wa Tz na Dubai unasema migogoro itaamuliwa na mahakama za nje basi kipengele hicho ni kinyume na sheria.

..kwa hiyo ushauri wa TLS ni sahihi kwa kuzingatia sheria iliyopitishwa na bunge mwaka 2017.

..
 
GUSSIE ,

..ninavyokumbuka mwaka 2017 magufuli na kabudi waliandika sheria inayoelekeza kuwa migogoro na wawekezaji itaamuliwa ktk mahakama za Tanzania.

..sheria huwa haivunjwi, bali hubadilishwa. kama mkataba wa Tz na Dubai unasema migogoro itaamuliwa na mahakama za nje basi kipengele hicho ni kinyume na sheria.

..kwa hiyo ushauri wa TLS ni sahihi kwa kuzingatia sheria iliyopitishwa na bunge mwaka 2017.

..
Kama mpaka TLS wanaingia king basi kuna tatizo kubwa la elimu nchi hii

Hivi mimi ninapokupa pesa wewe ndie unanipangia masharti au Mimi ndio inabidi nikupangie masharti

Unataka pesa za mkopo Bank halafu wewe unataka kupanga riba

Nasikia kulikuwa na maandamano ya watu kudai riba za mabenki kushuka
 
Back
Top Bottom