Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine.
Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi.
Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie...