tanga

Tanga is both the name of the most northerly port city of Tanzania on the west of the Indian Ocean, and the surrounding Tanga Region. It is the regional headquarters of the region. With a population of 273,332 in 2012, Tanga is one of the largest cities in the country. It is a quiet city compared to, for example, Arusha or Moshi with a comparable number of inhabitants.
The city of Tanga sits on the Indian Ocean, near the border with Kenya. Major exports from the port of Tanga include sisal, coffee, tea, and cotton. Tanga is also an important railroad terminus, connecting much of the northern Tanzanian interior with the sea. Via the Tanzania Railways Corporation's Link Line and Central Line, Tanga is linked to the African Great Lakes region and the Tanzanian economic capital of Dar es Salaam. The city is served by Tanga Airport.
The harbour and surrounding is the centre of life in Tanga. It has several markets in several neighbourhoods.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Mimi naomba kusema wazi kuwa mimi si mtaalamu wa Mambo.ya energy wala mtaalamu wa mambo ya kiuchumi. Lakini najiuliza ukanda wetu wa east africa kwa uchumi wake huu inahitaji refinery mbili, tena zilizojirani zenye thamani ya Dola bil20 kila moja ili iweje, au ndo mambo ya kitanzania jirani...
  2. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    My Take Msigwa alisema subirini mambo makubwa yanakuja.🔥🔥 Wale vibaraka wa Kenya waje tena kupayuka 👇👇 https://www.instagram.com/p/Dbsp926iFDm/?igsh=dHEweHczems2djhv
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la moto lililotokea Julai 29, 2026 majira ya saa 7:35 mchana katika nyumba za Polisi Msambweni zilizopo eneo la Mapinduzi “A”, Kata ya Ngamiani Kusini, Wilaya ya Tanga. Moto huo umeteketeza baadhi ya mali zilizokuwa ndani ya nyumba...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Nyumba za polisi zateketea kwa moto Tanga

    Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijafahamika, umeteketeza nyumba za askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Msambweni, Mapinduzi A, Kata ya Ngamiani Kusini, Tanga. Moto huo umeteketeza baadhi ya mali mbalimbali zilizokuwa ndani ya nyumba hizo, huku thamani ya mali zilizoharibiwa ikiwa...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania EACOP Tanga: Ghati la Mafuta Lazingatia Mazingira

    Dkt. MABULA: Ujenzi wa ghati kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Mkoani Tanga umezingatia uhifadhi wa mazingira ya bahari na viumbe hai Mradi wa EACOP umejenga ghati (jetty) la urefu wa takribani kilomita 2 Chongoleani, Tanga, Tanzania. Katika maelezo yake Dkt...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited - Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, hatuna mikataba, bima wala likizo

    Wafanyakazi wa Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited kilichopo Maweni mkoani Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, tulikuja hapa miaka iliyopita kama vibarua kwa ahadi ya kupewa mikataba baada ya miezi 6. Tulipata ajira Mwaka 2023 na wengine 2024 lakini hadi leo Julai 2026 ahadi hiyo...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Lushoto, Tanga

    Jamani kiwanja ila kiwe bei nzuri location sio shida kwangu alimradi pawe panafikika na umeme na maji yawepo.. Jamani mi si muwekezaji nataka kubadili mazngira tuu nijinge ata kibanda cha rum 3
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tuanue "tanga".. Mwandambo ndio basi tena

    Hata kama ni pesa. Hii ni zaidi ya kujidhalilisha https://vm.tiktok.com/ZSXgdE7Jw/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
  9. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Viongozi watatu wa CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya siasa

    Viongozi watatu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, wakipinga hatua zilizochukuliwa dhidi yao walipopaza sauti kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa pesa za michango ya wadau kwa chama hicho...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga idara ya mazingira na bustani, walalamikia kuchelewa kwa mishahara

    Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara. Kwa muda sasa, vibarua wa jiji tumekuwa tukikabiliwa na changamoto ya mishahara kuchelewa kulipwa. Mshahara wetu ni Shilingi 150,000 kwa...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya wa Feb 2025 - Bumbuli (Tanga) tumelipwa robo ila wale wa Januari 2026 wamelipwa

    Mtumishi ajira mpya ya Februari 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli mkoani Tanga, tangu tumejiriwa tumepewa pesa robo tu ya kujikimu kila tukiulizia pesa yetu iliyobakia tunaambiwa kwamba serikali haijatoa fungu letu bado, hivyo hata hiyo robo tumepewa kutoka kwenye vyanzo vya ndani vya...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Jiji Tanga, hatua hii ni kwa faida ya nani?

    Kwanini watu washukie na kupakia Kange wakati 98% ya watu wanakaa mjini Tanga na viunga vyake excluding Kange? Ridiculous kuwa gari liko barabara say ya 14. Analiacha anapanda basi dogo kwenda kupakia Kange! Una maana gani kwa hatua hii? Most likely wewe and your cronies mna daladala zenu...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Rwanda kupokea tani 40,000 za mafuta kupitia Bandari ya Tanga

    30 June 2026 Kigali, Rwanda Rwanda imetanua wigo wake wa kupokea shehena ya mafuta yake, Na kwa mara ya kwanza mzigo wa tani 40,000 za bidhaa za petroli kupitia bandari ya Tanga Mafuta hayo yaliyosafishwa kutoka nchini Oman yatafika mwisho wa mwezi Julai 2026, kupitia bandari ya Tanga...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kuhusu madai ya kifo kwenye kituo cha Afya Ngamiani, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tanga inafanya uchunguzi

    MADAI YA KIFO KWENYE KITUO CHA AFYA NGAMIANI Tanga, Julai 10, 2026 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, imeiona taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, kuhusu kifo cha Bi. Veronica Patrick Nkwabi (31) kilichotokea Juni 24, 2026 kwenye Kituo cha Afya Ngamiani, Halmashauri ya Jiji la Tanga...
  15. BigTall

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Waziri Mchengerwa fuatilia kifo cha mgonjwa huyu Hospitali ya Ngamiani – Tanga, kuna dalili za uzembe

    Waziri wa Afya, Mchengerwa tunaomba fuatilia kwa ukaribu Hospitali ya Ngamiani - Tanga kuna uzembe flani wa wauguzi, tarehe 24/6/2026 kuna mgonjwa alikutwa amefia chooni bila ya wauguzi kujua, asubuhi ya tarehe hiyo ndugu wa marehemu alikwenda hospitali kumpelekea chai mgonjwa wake ila hakumkuta...
  16. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Tutafute waekezaji wengine wa kujenga crude oil refinery Tanga

    Kama dangote ameamua kwenda kujenga crude oil refinery lamu ni sawa kama nchi hatujashindwa bado tutafute mwekezaji mwingine wa kujenga crude oil refinery Tanga hatujashindwa bado
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Tanga, ahamia CCM

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Tanga, Rashid Jumbe Hamza, amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), akieleza kuwa ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, hali iliyomfanya kuona hana sababu ya kuendelea kuwa upande wa...
  18. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Geita Ipewe Hadhi ya Jiji. Imekidhi Vigezo vya Idadi ya Watu na Mapato ya Ndani na Kuzipita Mbeya na Tanga

    Natoa wito Kwa serikali kuipandisha hadhi Manispaa ya Geita kuwa Jiji kwani Ina vigezo stahiki. Ukiacha vigezo vya ujumla lakini Geita imekishi vigezo muhimu zaidi vya Mapato ya ndani ambapo Kwa mwaka wa fedha 2015/26 imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilioni 27.Mapato haya ni zaidi ya Majiji ya...
  19. jooohs

    JamiiForums Tanzania Kati ya igunga au Tanga ni eneo gani linafaa zaidi kwa mfanyakazi kuishi muda mrefu

    Kati ya Igunga na Tanga, ni eneo lipi linafaa zaidi kwa mfanyakazi kuishi kwa muda mrefu? Tafadhali linganisha maeneo haya ukizingatia vigezo vifuatavyo: Maisha nje ya kazi (quality of life). Fursa za shughuli za kiuchumi na biashara. Utulivu na usalama wa mazingira. Upatikanaji wa huduma za...
  20. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Treni ya Abiria Dar Hadi Arusha na Treni ya mizigo toka Tanga ndo basi tena

    Hii nchi ni shida Kila nyanja tangu tupate uhuru Hadi Sasa ni ngumu kukuta huduma ya serikali ya uhakika na wananchi wakaifurahia. Magufuli alifufua usafiri wa Treni kwenda kaskazini lakini ndani ya muda mfupi toka afariki Dunia usafiri umekufa kabisa Hadi Leo, hakuna usafiri wa Treni ya Abiria...
Back
Top Bottom