Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma - Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya
Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma
- Ole Sabaya apanga kutoroka...
Alex Raphael aliyejifanya afisa wa TAKUKURU anashikiliwa na vyombo vya dola kwa uchunguzi zaidi kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Uchunguzi huu unaendelea wakati huu ambao huko Shinyanga mwalimu mmoja anashikiliwa na vyombo vya dola kwa kujifanya afisa wa JWT
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi na baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha. Amefanya hivyo ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya Fedha za Umma.
Ametoa agizo kwa Mkurugenzi wa TAKUKURU, CP Salum Hamdun kufanya uchunguzi. Tuhuma...
KUNA MENGI YA HOVYO YANAENDELEA KWENYE HII TAASISI, TUNAJIULIZA KAMA MH. WAZIRI MKUU AMEWAWAJIBISHA MENEJA WA TANESCO NA WATU WAKE KWA TATIZO LA KUPATIKANA KWA LUKU. JE HAWA WATU WA TEHAMA WA LATRA WANAAACHWAJE KWA UBABAISHAJI WA KWENYE MFUMO WA ONLINE TICKETING NA KUTUSABABISHIA WENGINE HASARA...
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.
Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.
Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha...
Nimemsikia mama akisema TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizowabambikia watu. Pigia mstari neno KUBAMBIKIA. Yani TAKUKURU wanakiri mbele ya Rais kuwa waliwabambikia watu kesi na wamekubali kuzifuta. Nimewaza sana kuhusu hao waliobambikiwa, familia zao, watoto wao na ndugu zao.
Nimemkumbuka rafiki...
Afande Hamduni hongera sana kwa kuaminiwa.
Takukuru Tanga inakila sababu ya kumulikwa kwani inaungana na wanaotuhumiwa.
Wapo watumishi wasio waadilifu pale zikitolewa taarifa za rushwa wanawapa taarifa wale waliotuhumiwa.
Takukuru Tanga wananunulika kwa uwazi kwani mlalamikaji anawekwa...
Ni bora faini ziende serikalini, sio kwa yanayotokea njia ya Goba.
Kuanzia Massana Hospital mpaka Mbezi Mwisho ni aibu juu ya aibu. Mabasi yanasimamishwa makonda wanatoa hela wanaweka kwenye makaratasi na kugaia.
Shida sio tu kutoa hela. RTO hebu hakiki hili barabarani
Ukitokea Masana Hosp...
Rais Samia Suluhu amesema Takukuru wamefuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu. Awataka Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.
Chanzo: MwananchiUpadates
Usiombe ushindane Kutongoza Demu ambaye Askari Polisi nae anaitaka Mbunye yake ni lazima tu ama Rumande au Segerea kabisa kutakuhusu kwa...
Didhani Kama Kuna umuhimu wa kuwa na TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA TANZANIA. Tunapaswa kuwa na mkuu wa nchi ambaye ndiye atasimama nafasi ya mapambano dhidi ya Rushwa.
Kwa ripoti za TAKUKURU wanazotoaga kwa viongozi wa nchi ukilonganisha na Hali ilovyo Bora tufute chombo hiki kinachonyanyasa...
Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.
====
Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo...
Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen...
Awamu ya sita inalo Jambo la kutafakari kuhusu mmomonyoko wa maadili unaoendelea Nchini. Tumewalea watu wachache wameafika mahali wananguvu kuliko Viongozi wa kitaifa. Tunaweza tukadhani tunapambana na wapinzani kumbe tunapambana kuuwa usawa katika jamii.
Tuna vyombo vya dola ambavyo kwa kiasi...
Leo tarehe 07/05/2021 Mahakama ya wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe imemhukumu ndugu SEMENI GWEWA MSWIMA (Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mlowo) Kifungo cha miaka 200 au kulipa faini ya Tshs.52,000,000/= pamoja na kurejesha kiasi cha Tshs.30,850,000/= alichoiibia Halmashauri wilaya ya Mbozi.
Kesi...
Kuna chama kinaitwa Chama Cha Walimu ni ugonjwa sugu unaotafuna walimu ambao wengi wao wamejikatia tamaa.
TAKUKURU kama kuna uchunguzi wa kina unatakiwa ufanyike ni katika Chama hiki cha walimu.Kuna biashara zinafanyika ambazo kama Takukuru wataingia, kuna kitu watashangaa.
TAKUKURU chunguzeni...
Habari wadau.
Nina malalamiko juu ya utendaji wa BOT. Nimeshuhudia utendaji wao first hand nilipofikisha malalamiko yangu ofisini kwao na niliojionea ni vituko tu kwa ofisi hiyo kubwa na yenye reputation kubwa.
Moja: Ukifika utapishana na vikabu vilivyopambwa vizuri ambavyo vinaenda kama...
Unaweza kudhania ni hadithi, lakini ndio ukweli wa mambo.
-
AFISA WA TAKUKURU AKAMATWA KWA KUOMBA RUSHWA YA SHILINGI MILIONI 50
Kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU Brigedia Jenerali John Mbungo, napenda kuufahamisha umma kwamba, Taasisi ya Kuzuia...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Shinyanga, inatarajia kuwafikisha mahakamani watumishi wa halmashauri, kwa tuhuma za kugushi nyaraka za manunuzi na matumizi mabaya ya mamlaka.
Kaimu Kamanda wa TAKUKURU mkoani Shinyanga, Francis Luena, ametoa taarifa hiyo leo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.