KUNA TAARIFA ZINASAMBAA KWA KASI SANA ZINAZOMHUSISHA WAZIRI WA NISHATI, JANUARY MAKAMBA KUWAPA RUSHWA WABUNGE YA SHILINGI MILIONI 10 PAMOJA NA RUSHWA NYINGINE YA MAJIKO 300 YA GESI KWA KILA MBUNGE ILI KUMPITISHIA BAJETI YAKE ITAKAYOSOMWA WIKI HII.
MAWAZIRI WOTE WAMESOMA BAJETI ZAO HAWAJATOA RUSHWA YA AINA YOYOTE KWA WABUNGE ILI WAPITISHE BAJETI ZAO, KAMA WANANCHI TUNAOMBA TAKUKURU MSIPUUZE MADAI HAYA KWANI FEDHA ZINAZOTUMIKA KUHONGA WABUNGE NA KUNUNULIA MAJIKO YA GESI KUWAHONGA WABUNGE NI FEDHA ZETU WATANZANIA TUNAZOKATWA KODI KILA SIKU.
TUNAOMBA TAKUKURU SUALA HILI MSILIFUMBIE MACHO LIKO WAZI NA KILA MTANZANIA ANALIFUATILIA KWA KARIBU SANA KWANI KWENYE NCHI YETU HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA.
MAWAZIRI WOTE WAMESOMA BAJETI ZAO HAWAJATOA RUSHWA YA AINA YOYOTE KWA WABUNGE ILI WAPITISHE BAJETI ZAO, KAMA WANANCHI TUNAOMBA TAKUKURU MSIPUUZE MADAI HAYA KWANI FEDHA ZINAZOTUMIKA KUHONGA WABUNGE NA KUNUNULIA MAJIKO YA GESI KUWAHONGA WABUNGE NI FEDHA ZETU WATANZANIA TUNAZOKATWA KODI KILA SIKU.
TUNAOMBA TAKUKURU SUALA HILI MSILIFUMBIE MACHO LIKO WAZI NA KILA MTANZANIA ANALIFUATILIA KWA KARIBU SANA KWANI KWENYE NCHI YETU HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA.