D DALALI MKUU JF-Expert Member Joined May 7, 2022 Posts 2,571 Reaction score 6,108 Aug 6, 2026 #1 Hii habari nimeikota huko Facebook inasemekana kwamba huko mwenge kuna sanduku la Ajabu limeokotwa baada ya kutelekezwa stand hapo kwa siku tatu. Je ni kweli muliopo hapo mwenge? Ngoja niwawekee na link musikilize na kusoma wenyewe Facebook
Hii habari nimeikota huko Facebook inasemekana kwamba huko mwenge kuna sanduku la Ajabu limeokotwa baada ya kutelekezwa stand hapo kwa siku tatu. Je ni kweli muliopo hapo mwenge? Ngoja niwawekee na link musikilize na kusoma wenyewe Facebook
M Mopak JF-Expert Member Joined Sep 19, 2024 Posts 2,516 Reaction score 5,374 Aug 6, 2026 #2 Aliye na ukweli atuambie