Sanduku lazua taharuki Mwenge

Sanduku lazua taharuki Mwenge

DALALI MKUU

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
2,571
Reaction score
6,108
Hii habari nimeikota huko Facebook inasemekana kwamba huko mwenge kuna sanduku la Ajabu limeokotwa baada ya kutelekezwa stand hapo kwa siku tatu.

Je ni kweli muliopo hapo mwenge?
Ngoja niwawekee na link musikilize na kusoma wenyewe Facebook
 
Back
Top Bottom