A
Anonymous
Guest
Katibu wa Hospitali ya Wilaya ya Mpimbwe amesimamishwa kazi na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mpimbwe baada ya kuhoji masuala yanayohusu malipo ya fedha za kujikimu kwa waajiriwa wapya pamoja na matumizi ya fedha za ujenzi wa njia za watembea kwa miguu (walkway) katika hospitali ya wilaya ya Mpimbwe.
Kuna umuhimu kwa mamlaka husika kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli na kuhakikisha uwajibikaji, uwazi, na ulinzi wa watumishi wanaoibua hoja za maslahi ya umma.
Kuna umuhimu kwa mamlaka husika kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli na kuhakikisha uwajibikaji, uwazi, na ulinzi wa watumishi wanaoibua hoja za maslahi ya umma.