tabia

Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.

View More On Wikipedia.org
  1. BAK

    Eti Mbowe alitoa laki 6 kufadhili ugaidi. Seriously?

    Kabla ya Mbowe kusomewa mashtaka, watu waliipa Jamhuri "benefit of doubt" kwamba huenda ina ushahidi wa maana. Watu wakahisi labda Mbowe ana uhusiano na makundi ya kigaidi kama Al Shabab, Al Queda, Boko Haram etc na pengine anapeleka vijana huko kwa ajili ya mafunzo. Hayo ndio yalikua matarajio...
  2. Kibosho1

    Hii hapa Tafsiri ya "Manka" kichagga na tabia zao

    Leo tujionee hili jina maarufu sana kwa watoto wa kike wa kichaga. Manka ni jina la asili la kichaga analomiliki mtoto wa pili wa kike kuzaliwa. Hata kama hatolitumia lakini huwa linajulikana tu baada ya kuzaliwa wa pili kwa watoto wa kike. Jina Manka uchagani(kote kwanzia Rombo hadi...
  3. A

    Jinsi maji yalivyompotezea Utu na Masomo dada mwanachuo

    Wazazi ni watu pekee wanaopitia ugumu wa maisha ya watoto wao wawapo vyuoni wakitafuta elimu Matarajio ya Kila mzazi ni mafanikio Kwa mtoto wake juu ya kile kilichompeleka chuoni kama egemeo la utafutaji wake hapo Baadae Bahati mbaya iliyoje ni mtoto huyu ambaye anajulikana kama mwanachuo...
  4. JACKLINE CELESTINE KITALE

    SoC01 Tabia ya polisi kupiga watuhumiwa

    Kisheria mtu anahesabiwa kuwa ni mtu mwenye haki mpaka pale ambapo mahakama ita thibitisha kuwa huyu mtuhumiwa amefanya kweli hayo makosa anayoshutumiwa kufanya. Na kama mtu ambaye ametuhumiwa tu, ana haki zake sawa na raia wa kawaida tu, hivyo, hizo haki zinatakiwa ziheshimiwe mpaka pale...
  5. zero to hero 199

    SoC01 Afya ya akili mtaji kwa vijana

    Afya ya akili ndio msingi wa maendeleo kwa kijana yeyote mwenye chachu yakuweza kufanikiwa au kufikia malengo fulani ambayo amejiwekea. Katika kipindi cha ujana vipo vingi ambavyo kama vijana tumekua tukivifanya wenda tukifahamu madhara ya tukifanyacho au pengine hatukuwa na ufahamu juu ya...
  6. Prof Koboko

    Askofu Gwajima na wewe umechangia kuligharimu taifa hili. Acha tabia hii!

    Nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa sana na huyu kiongozi ambaye pia ni mwakilishi wa wananchi wa jimbo la KAWE kwa kauli zake za kuligawa taifa. Ni kama vile mamlaka vinamchekea utafikiri yeye anatembea na pembe. Huyu mtu anatoka hadharani na kudiriki kusema eti Marehemu JPM alimpigia simu na...
  7. XII Tz

    Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

    Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili. Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba...
  8. Kipenzi Changu

    Morison amshauri Haji Manara kuacha tabia za kike

    BM3 wakili msomi amepiga kwenye mshono
  9. N

    Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

    Isiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesi nyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
  10. pCpCp RICH THINKER

    SoC01 Kwani fursa ni nini?

    FURSA Fursa ni mwanya, nafasi ama uwezekano wa kufanikisha jambo fulani (kwa minajili ya makala hii–tafsiri hii inatufaa). Nikupe mfano: Chukulia mmefungwa kwenye chumba, tuseme watu mia moja na dhima yenu hapo ni kutoka nje. Hata hivyo, kanuni inasema: “atakae toka basi anakuwa huru”. Chumba...
  11. Komeo Lachuma

    Viongozi Mlioko Morocco Kemeeni hii Tabia Kambini

    Viongozi tukemee huu ujinga unaoendelea Kambini Morocco. Ni aibu watu wazima kugombea mkorogo. Iwe ni kweli aliiba au kasingiziwa but sidhani kama ni jambo la busara. Kambini si sehemu ya kwenda kuonesha urembo. Nadhani kuna haja ya kuwaambia wachezaji wetu kutoka Kongo.sisi hatujali sana...
  12. Z

    Tukiendeleza kutumia nguvu kuwanyamazisha watu wanaohoji juu ya mambo ya kitaifa, tunatengeneza Taifa la hovyo na nchi kutekwa na adui

    Kipindi cha ukoloni, mkoloni hakupenda kabisa kuona watu wenye akili wakihoji. Kama Afrika isingekuwa na watu wenye kuhoji mpaka leo tusingekuwa tumejipatia uhuru.sehemu nyengine hawakupata uhuru kwa mtutu wa bunduki bali kwa hoja tu. TAIFA lenye watu wa kuhoji mana yake liko hai na linaonyesha...
  13. Deshbhakt

    Video: Barafu Biharamulo - Mabadiliko ya Tabia nchi ndio haya

    Global Warming?
  14. OMOYOGWANE

    SoC01 Jinsi ya kuacha Tabia usiyoipenda na kujenga tabia unayoitaka

    Je umewahi kutamani kuacha au kupenda kuwa na tabia zifuatazo? Unachukia sana kunywa pombe lakini hujui jinsi ya kuacha kunywa pombe Unachukia sana tabia ya kuvuta sigara lakini hujui utaachaje Unataka uwe msomaji wa vitabu lakini unashindwa unaona uvivu kila unapojaribu Hupendi somo flani...
  15. mzee wa kasumba

    Filisika tujue tabia ya mkeo

    Wahenga walikuwa na baadhi ya misemo yao ambayo ilikuwa na maana pana. Sina uhakika sana wa ninachokiandika na uhalisia wa kichwa cha habari, ila naziona dalili hizo. Inafahamika kuwa mzee wa kasumba wiki kadhaa zilizopita alifukuzwa kazini kama mbwa na kuanza kutangatanga na njia, jambo ambalo...
  16. Samia atosha tukutane2030

    Tabia ya kuchapa watoto hovyo ni tabia za watu maskini wenye msongo wa mawazo

    Habari!. Watoto wa matajiri hufanikiwa zaidi kwakuwa ni watoto wanaokua kwa furaha. Wazazi wao ni marafiki zao. Mtoto hahitaji majumba ya ghorofa, hahitaji magari ili afurahi. Anahitaji kupendwa na kupewa vizawadi vidogovidogo kabisa. Uswahili watoto wanadundwa sana , wanakaripiwa sana na...
  17. Chizi Maarifa

    Umewahi kukaa hoteli au sehemu na Kivulana cha tabia hii?

    Nipo Restaurant moja maarufu katikati ya Jiji. Mbele yangu kimekaa kivulana (ingawa anaonekana kuwa na umri wa kuitwa Mwanaume) kipumbavu. Toka kimefika kinapiga kelele kwenye simu kuonesha kinatukana wafanyakazi wake, kina ongea deals kubwa kubwa za millions of money na mizigo mingi iliyopo...
  18. G

    Mwambieni Shaka A Shaka atulie, kazi yake siyo kumtetea na kumsemea Rais Samia

    Shaka A. Shaka tangu amepewa nafasi hiyo amekuwa bize kujibu kila mashambulizi yanayoelekezwa ama kwa rais SSH moja kwa moja au kwa serikali yake. Jana baada ya BBC swahili kurusha maoni ya J. J . Mnyika kuhusu kauli ya rais SSH wakati akihojiwa na chombo hicho hicho mara tukaona Shaka A. Shaka...
  19. Musa Meizon

    SoC01 Tambua Nyakati: Usibaki unapotakiwa kuondoka

    Ukweli ni kwamba, ni jambo kubwa sana kutambua NYAKATI, ni muhimu kujua muda gani ufanye Nini? Uwe wapi? na hatima au matokeo ni Nini? Habari yako Mpenzi msomaji. Leo napenda kukuepusha na hatari ya kutotambua nyakati katika MAHUSIANO YA KIMAPENZI. Watu wengi wanapoteza muda kubaki na wenza...
  20. N

    Je, unavyofikiria mafanikio ni tabia?

    Waswahili husema : Tabia hujengwa🤷‍♂️ Eti ni kweli? Sina jibu ila kuna watu walikuwa wema sana Leo waovu, pia kuna watu walikuwa wovu Leo ni wemaa 👩🏿‍🦲👩🏿‍🦲 Yaweza kuwa kweli tabia hujengwa. ✍🏿 Hivi wajua mafanikio ni Tabia? 🤭🤭 😁😁😁 Ndio kuna tabia lazima uzibadili ndo mafanikio ama malengo...
Back
Top Bottom