Mch. Peter Msigwa: Hayati Magufuli ametufundisha tujue tabia za watu wengi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Muda ni Mwalimu mzuri sana ! Wanafiki wote wamejidhihirisha.
Tabia za ki TIKITI MAJI nje wa kijani na ndani mwekundu, ziko wazi . Jambo moja la kumshukuru JPM ni la kutufanya tujue tabia za watu wengi.
#MboweIsNotATerrorist https://t.co/Y6l1tcnXnd



IMG_20211222_213335.jpg
 
yule baba kwa nje alionekana chuma kumbe ndani alikuwa amebakiza figo moja tu

Akina Lema waliokuwa na taarifa za afya yake kila siku walikuwa wakimtabiria mauti kwani walijua hatoboi
 
Back
Top Bottom