Mgawanyo wa rasilimali kati ya Tanganyika na Zanzibar hauko sawa

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,009
2,171
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua.

Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ. Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi. Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa.

Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi? Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa?

Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
 
TRA wanakusanya kodi ZANZIBAR,ukishusha chochote bandari ya zanzibar au Airport ile kodi inalipwa TRA na ZRB pia,mikopo ta Tanzania inalipwa kutokana na kodi za wananchi ikiwemo zanzibar,kwann pesa za mikopo zanzibar isipewe?Biashara zote zenji zinalipiwa kodi TRA
 
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua. Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ. Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi.

Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa. Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi? Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa? Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
Muungano wa ajabu sana huu..
vya Zanzibar vya Zanzibar, Ila Vya bara vya wote
 
Muungano wa ajabu sana huu..
vya Zanzibar vya Zanzibar, Ila Vya bara vya wote
TRA wanakusanya kodi ZANZIBAR,ukishusha chochote bandari ya zanzibar au Airport ile kodi inalipwa TRA na ZRB pia,mikopo ta Tanzania inalipwa kutokana na kodi za wananchi ikiwemo zanzibar,kwann pesa za mikopo zanzibar isipewe?Biashara zote zenji zinalipiwa kodi TRA
 
Unajaribu ku-elicit uTanganyika wkti ulishamalizwa na Nyerere,,kalaumu makaburi,sasa hivi ni zamu yao ,na tutakoma 😂😂
 
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua.

Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ.

Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi.

Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa.

Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi?

Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa?

Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
Aliyemtangulia alielekeza kwao Chato, TZ ya umoja aliyoijenga mwalimu imebaki kwenye makaratasi.
 
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua.

Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ.

Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi.

Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa.

Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi?

Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa?

Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
Sukuma gang mmeamia huku?🤣🤣

Sikilizeni Tanzania ni moja na Samia ni Mtanzania
 
Mbona Mwendazake alihamishia Ikulu Chato na uwanja wa Ndege, mbuga za Wanyama kutoka serengeti
Leo unamshangaa Mama kwenda Zanzibar huo ni wivu wa Kisukuma
Eti umeambiwa huko Zanzibar watakimbilia kwa waarabu
 
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua.

Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ.

Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi.

Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa.

Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi?

Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa?

Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
Sijawahi kusoma ujinga uliokithiri kama huu.
 
TRA wanakusanya kodi ZANZIBAR,ukishusha chochote bandari ya zanzibar au Airport ile kodi inalipwa TRA na ZRB pia,mikopo ta Tanzania inalipwa kutokana na kodi za wananchi ikiwemo zanzibar,kwann pesa za mikopo zanzibar isipewe?Biashara zote zenji zinalipiwa kodi TRA
Yaani wanazungumza vitu hata hawana uhakika navyo. Alimradi ni chuki tu ndiyo zinaendelea.
 
Nimewahi ambiwa kwamba Z'bara wanapenda sana kuwa waarabu na wanafanyiwa sherehe za kuwa waarabu. Binadamu wa kiwango hicho kwa hiari yake, lazima ana tatizo la msingi kijamii. Upende usipende, nchi inayoyoma bila mkuu wa nchi kujitambua.

Tabia hii imekuwa ni sugu, kwamba wa-Zbar wanajiona siyo wa-TZ, ni Wa-Zbar na hivyo wanataka stahili kama wanzanzibari na siyo kama wa-TZ.

Tabia hii iko hadi kwa waliosoma. Wanaamini hata muungano ukivunjika, wapo waarabu wataleta neema. Tabia ya kusubilia waarabu inawafanya wajione wanazibiwa nafasi.

Sasa kinachojitokeza ni rais toka Z’bar kuona huu ndo muda wake wa kuipa nafasi ya kubweteka Z’bar. Pesa inakopwa na kuigawia Z’bar bila hata plan ya kulipa.

Visiwa vya watu milioni 1 sasa vinapewa pesa za kutumia hovyo wakati Tanzania kama nchi inahangaika na population ya watu milioni 65. Bahati mbaya Tanzania bara tunashangilia eti Samia anatuletea maendeleo. Yapi?

Wakati anahangaika kutoa shukrani kwa wanzanzibari wenzake anaoamini wanaonewa! Ajabu tena, hao waarabu wanaotumainiwa kuisaidia Z’bar, sasa wako nchini wakihangaika kuchota mali za nchi. Mikataba mingi sasa wanapewa waarabu, na ukiwagusa unaambiwa wewe unajiandaa na uchaguzi wa 2025, kwani kujiandaa ni kosa?

Rais Samia ameshindwa kuachana na tabia ya ki-Zanzibari na anatupeleka njia ya hovyo. Tusioamini subilini mujionee teuzi mpya alizotishia mawaziri.
Hiyo ya waarabu umeitoa wapi mkuu?
 
Nadhani mtoa mada haelewi kuhusu inavyoendeshwa zanzibar,ila ngoja leo tumpatie kidogo apate ufahamu,

Sababu kuu yabkutokuendelea zanzibar ni makusanyo ni TRA kukusanya kodi halafu zikatumika TANZANIA,zanzibar inajiendesha kutokana na kodi hafifu inayolipwa kupitia ZRB,

Tanganyika kwavile imechukua uhuru wa zanzibar,tanganyika kuipa fedha zanzibar ilipaswa iwe lazima,

Kwa uelewa wangu wazanzibar hasa hawautaki muungano,rejea kisa cha UAMSHO,watanganyika ndo wenye shida na muungano,ndo mana ni kama vile wanaikalia zanzibar kimabavu,
 
Back
Top Bottom