Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 583
- 1,478
Habari.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.
Ni mpenzi wako, na kila mtu anajua status ya afya ya mwenzake. Wote kwa pamoja hamjaamua kuwa na watoto.
Lakini tatizo unakuta hapendi kutumia kinga hata kama anajua upo siku za hatari. Hata akitumia katikati lazima alalamike hadi aivue tu, na hapo atakuahidi ata pull out ila hafanyi kama alivyoahidi.
Hivi ni vibaya kuvunja mahusiano na mtu wa namna hii? Huyu si mtu mwenye lengo la kukuharibia maisha?
Pili, hivi mkitumia p2 mnapata side effect zipi? Mimi nimetumia mara ya kwanza tu na spot nakaribia kumaliza mwezi sasa haikati. Hospital wanasema ni kawaida na mwili wa kila mtu upo tofauti.
Kwa usalama wangu nimeamua kumawacha huyo mwanaume maana sifikirii kurudia kamwe kumeza p2. Pia sifikirii mambo ya kuanza njia za uzazi wa mpango nyingine kwa sasa.