tabia

Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    JamiiForums Tanzania SoC01 Hewa ya ukaa na mabadiliko ya tabia ya nchi

    Hewa ya ukaa ni hewa inayotokana na vitu mbalimbali hasa Shughuli za kibinadamu kama vile viwanda,usafirishaji,uchomwaji misitu na vichaka wakati wa uandaaji wa Mashamba kwa ajili ya kilimo . Hewa ya ukaa ni moja kati ya hewa yenye uchochezi mkubwa wa mabadiliko ya tabia ya nchi. Hewa ya...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania SoC01 Utunzaji wa Mazingira, Mabadiliko tabia ya nchi na maendeleo ya nchi yetu

    Tunayategemea mazingira, tunaishi ndani yake, hapana Shaka bila ya mazingira maisha yetu hayawezekaniki, pengine niseme, Sisi ni watoto wa mazingira, nayo ndiyo Mama yetu anayetulea Kwa kutupatia kila tunachokihitaji, hata hivyo katika Mazingira vipo vitu vingi hasa, vingine hata hatujui kazi na...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Sisi ni kundi la tatu na tabia zetu kumi

    Naweza kusema tumesahaulika ila taathira yetu ni kubwa mno japo inaenda taratibu mno. Wewe tuweke unapo taka baina ya haya makundi mawili,ukituweka wa kwanza sawa,ukituweka wa pili sawa,na ukituweka wa tatu unakuwa umepatia zaidi. Tumeamua kwa hiari yetu kujiweka mahala tunapo stahiki sababu...
  4. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded DC Jerry Muro atishia kuumiza na kupoteza watu wanaodai katiba

    IKUNGI-SINGIDA, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida ndugu Jery Muro ametos kauli kali na vitisho kwa wananchi wa wilaya ya hiyo kua yeyote atakayefanya siasa au kudai katiba mpya katika eneo lake atakula kichwa chake na kumpoteza mchana kweupe, ameongeza kua tumezoea kazi hiyo inafanywa na...
  5. Ethan Cruz

    JamiiForums Tanzania Tabia za wanawake na sifa zao

    Hivi ni kwly? Inasemekana wadada wanatabia tofauti katika mapenzi kulingana maumbo ya miili yao (1): WASICHANA wafupi wanaongoza kwa WIVU wa MAPENZI na kuwajali wapenzi wao'' (2):WASICHANA warefu huwa hawawajali WAPENZI wao na hawaogopi MAHUSIANO kuvunjika pia hawajui kupetpet (3):WASICHANA...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Miss Tanzania avuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss World kutokana na utovu wa Nidhamu

    Miss Tanzania 2020-2021 Rosey Manfere hajatangazwa kwenda kushiriki Miss World 2021 na badala yake ametangazwa mshindi wa pili Juliana Lugumisa kutokana na utovu wa nidhamu kati ya Miss Tanzania Rosey na waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania. =====
  7. The king mswati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

    Habari zenu wakuu, Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi? MOJA :KUBETI MPIRA ; Nilianza kubet mwaka 2016 kwa sh 500 tu lengo kutafta walau kutafta hela ya vocha tu kila siku ila leo...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Je, mzunguko wa mwezi kuizuka dunia hua una athali katika akili za wanadamu na tabia za wanadamu?

    Nawasalimu wakuu wote. Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga. Pia wakati huo hata kwa watu wengi...
  9. Nduka Original

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada wacheni hii tabia inakera sana wanaumee - Be real

    Kuna tabia wadada wanaweka picha kwenye profile zao ambazo siyo halisi. Yani unakuta kajipiga picha halafu anaifanyia manjonjo wewe una base kwenye picha hiyo lakini ukija kumuona ni vitu viwili tofauti. Unakuta mdada labda ulisoma nae sasa mmechat ukaona profile ukasema ngoja nirushe nyavu na...
  10. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Kero: Tabia ya ajabu Mbeya kuchangisha pesa za misiba imezidi mno

    Binafsi niweke wazi kabisa kwamba napenda kuishi kijamii na wala sinaga tatizo na misiba ila hali ya mbeya imezidi sana Sasa kwa huku Mbeya hali ya misiba imekuwa tofauti sana, watu hawajali kushiriki kwako msibani hawakwambii hata msiba ulipo mpaka uwauilze na hata hawajali ukaribu wako na...
  11. Justine Kakoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia muhimu za kuzijenga kwa watoto

    Wazazi/walezi wengi hutamani kujenga tabia mbalimbali nzuri kwa watoto lakini hujikuta katika njiapanda ya kuchagua tabia ipi waiwekezee nguvu zaidi ya nyingine. Katika kuhudumia kwangu wazazi kwa kuwapa ushauri kwa miaka zaidi ya sita sasa nimekutana na wazazi wengi ambao wanajua tabia gani...
  12. uran

    JamiiForums Tanzania Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

    Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako). Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua. Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua...
  13. Kiume3000

    JamiiForums Tanzania Natamanigi sana hii tabia ni gonjwa

    Gx almaarufu One hundred" Hii aina ya gari ilivuma sana kunako miaka ya 2000 wakati ule Noah ilikuwa my favourite, Leo hii nakumbuka Gx100 sasa udenda unanitoka nikiifikiria.wajuzi kama mnaijua vema na upatikanaji. Hi tabia yangu inanikosesha usingizi....haya ma verrosa yametulia shida yake ni...
  14. Jumbe Brown

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

    Leo katika mkutano wao wa katiba ambao Ndg. Mbowe ameendelea kudhihirisha ukaidi alionao kwa mamlaka za nchi ya "kijamaa" ndugu yetu mdude nyagali ametushangaza. Mdude nyagali amenishangaza vipi? Tabia inayoota mizizi hapa nchini. Mdude nyagali alitoa ishara ya saluti kwa meza kuu pale...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Askofu Benson Bagonza: Kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha

    Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe "Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi" "Haki na uhuru ni misingi imara ya kuweka nchi sawa. Ukiyaahirisha unajitwisha mzigo mzito. Dai la katiba mpya lina faida kubwa kwa...
  16. G

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache hii tabia ya kuwasifia viongozi kupitiliza, tunawaharibu

    Kuna tabia iliyojengwa miongoni mwetu ya kutoa sifa zilizopitilizakwa viongozi wapya, hasa rais, waingiapo madarakani. Tabia hii sijui tumeirithi wapi? Tunawapa sifa mpaka wanajiona miungu. Tumejifunza kwa mwendazake na sasa tumehamia kwa mama. Baada ya siku 100 madarakani zimeimbwa ngonjera...
  17. Marconho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

    Kuna siku nilikua na miadi na manzi mmoja, budget yangu ilikua ni mimi na yeye, nashangaa anafika na nyomi la rafiki zake! Nikawakaribisha kwa roho ya unyenyekevu sana! Wakaona hapa wamepata shem mwenye kujali. Nikawaeleza waagize chochote! Baada ya hapo nikamuita pembeni yule manzi wangu...
  18. Blue G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwonekano mzuri huvutia kuanzisha Mahusiano, Utu au Tabia nzuri ndio hudumisha mahusiano

    Habarini Wana MMU, Nimekuwa nikijaribu kufikiria hii kauli ya "mke sio sura bali tabia" na matumizi yake,wengi hasa vijana wa siku hizi wanaichukulia kauli hii kama kauli iliyopitwa na wakati hasa kwa kuwa vijana wengi siku hizi ni wazee wa pisi kali wakiamini kuwa na pisi kali au smart...
  19. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

    JF imejaa watu wa kila aina na ndio hawa hawa tunaishi nao mtaani, wengine pia ni ma diaspora, viongozi nk. Haya ndio makundi ya J na karibu kila mtu yupo kundi tajwa na tabia zake kama ifuatavyo. 1: Wapenda siasa Hapa wapo watu ambao wao utawakuta kwenye jukwaa la siasa tu, maisha yao na...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kutokana na tabia zako mbaya, jitambulishe wewe ni nani?

    Hamna mtu asiye na tabia mbaya, wote tunazo, za kurithi, za kujifunza na za kuiga. Kila mtu anayejijua vyema, huwezi ukawa mwizi halafu usijijue. Huwezi ukawa kicheche halafu useme eti hujui. Sasa hapa tujuane kwa tabia zetu mbaya. Binafsi:- Siwezi kunywa bia mbili halafu niseme nimetosheka...
Back
Top Bottom