Kero: Wakurugenzi wa Elimu Wilaya kujifanya wana shida zaidi na walimu wa Sayansi

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Ipo kasumba kwa baadhi ya Afisa elimu wilaya sekondari kujifanya wana shida zaidi na walimu wa sayansi kuliko wa mchepuo wa sanaa.

Hii tabia ni ku-discourage walimu wa mchepuo wa sanaa +biashara, na ikumbukwe kila mchepuo una umuhimu wake.

Sasa endapo kama hao walimu wa sanaa wapo wa kutosha mbona bado shule za serikali hasa hasa hasa hizi za kata mbona bado vijana wanafeli?
 
Ipo kasumba kwa baadhi ya wakurugenzi wa elimu wilaya sekondari kujifanya wana shida zaidi na walimu wa sayansi kuliko wa mchepuo wa sanaa.

Hii tabia ni ku-discourage walimu wa mchepuo wa sanaa, na ikumbukwe kila mchepuo una umuhimu wake.

Sasa endapo kama hao walimu wa sanaa wapo wa kutosha mbona bado shule za serikali hasa hasa hasa hizi za kata mbona bado vijana wanafeli?
Shule za Kata zinafundisha sanaa pekee?
 
Mleta mada hapa ni JF sio facebook.Ukiandika chapisho jiridhishe kuwa hutoboa watu.Wakurugenzi wa elimu wilaya ndio akuna nani?cheo au wadhifa huo umeanza lini?
Mnatuchosha,wengine sio wa level hizo ila mna shida ya komenti sijui!
 
Mleta mada hapa ni JF sio facebook.Ukiandika chapisho jiridhishe kuwa hutoboa watu.Wakurugenzi wa elimu wilaya ndio akuna nani?cheo au wadhifa huo umeanza lini?
Mnatuchosha,wengine sio wa level hizo ila mna shida ya komenti sijui!
Mleta mada atakuwa katoka Kijiji ambacho wilaya ina halmashauli Moja,
Halafu sikuhizi wakurugenzi hawatoi ajira za walimu wanacho fanya ni kubana uhamisho tu.
 
Ipo kasumba kwa baadhi ya wakurugenzi wa elimu wilaya sekondari kujifanya wana shida zaidi na walimu wa sayansi kuliko wa mchepuo wa sanaa.

Hii tabia ni ku-discourage walimu wa mchepuo wa sanaa, na ikumbukwe kila mchepuo una umuhimu wake.

Sasa endapo kama hao walimu wa sanaa wapo wa kutosha mbona bado shule za serikali hasa hasa hasa hizi za kata mbona bado vijana wanafeli?
Wewe ukiwafundisha watoto wetu watafeli sana
 
Back
Top Bottom