Kama kuna mtaalamu yeyote anaelewa jinsi system za mita za umeme zinavyofanya kazi anipe ujuzi.Mita hizo ni hizi za sasa hivi tunazozitumia majumbani kuingiza LUKU kama wenyewe mnavyoiita.Maana nilisikia zinakuwa controlled somewhere kwa kutumia Network.Pia nataka kujua asili ya hilo neno LUKU.
Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo...
Heshima kwenu wakuu" system"
Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote.
Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na...
Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
Hii ni Diagnosis ambayo inacover mifumo yote ya gari yako tofauti na OBD2 ambayo kwa mashine nyingi huwa inacover tu faults za engine japo ilitakiwa kucover power train yote(Yaani Engine na Automatic gearbox).
Hapa chini nimescreenshot baadhi tu ya mifumo ambayo inakuwa covered na Fully system...
Habari wadau, nauza aborder multimedia system AB3822BT kwa shilingi 155000/=
Mawasiliano : +255783696253.
Nipo beta barabara ya chang'ombe Dar es salaam
Wana Jamii forums elimu heshima
Naomba msaada, ninapoingia kwenye hii system ya kuomba hizi ajira, nimekutana na changamoto zifuatazo na nimeshindwa kufanya chochote, email already exist Mara account already exist nimeshindwa kufanya chochote nisaidie jamani mwaka Jana niliomba lakini...
NAUZA DEKI YA LG HOME THEATER DH4530T
SPECIFICATIONS
330W (5.2ch)
BASS BLAST
1080P FULL HD UP-SCALING
USB CONTENTS PLAYBACK
HDMI out & SIMOLINK
PORTABLE IN
NAMBA YA SIMU; 0783696253
Hello JF,
Nadhani nishawahi kulileta before..
Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu...
Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary...
3-6 Months! za masomo waliyosomea
Hio hela inayotumika kuwa train vijana...
Habari wanaJF?
Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea kwa muda kama ambavyo tutakubaliana
Aina ya website nazotengeneza
1.Wordpress websites na blogs nafanya kwa shilingi laki mbili mpaka tatu
2.Website ambazo hazina database au static websites.Hizi...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au...
Mwanasheria Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzaniania (TCRA) ambaye ni Katibu wa Kamati ya Maudhui inayofungia Vyombo vya Habari kwa kukiuka Kanuni za Maudhui mitandaoni, Dkt. Philip Filikunjombe amechukua fomu kuomba kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ludewa
Kama inavyojieleza ...
Ninahitaji uelewa wa solar power sytem ambayo itaweza kuwasha taa 14 na TV ambayo sio ya solar na sehemu ya kuchaji simu. Kwa mahitaji haya mahitaji solar yenye ukubwa gani?
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
Leo Juni 23, China imezindua satelaiti yake ya mwisho kukamilisha mfumo wa ‘Geolocation’ unaoitwa BeiDou Navigation Satellite System (BDS)
Satelaiti hiyo iliyopewa jina la BeiDou-3GEO3, itakamilisha mfumo wa mtandao katika soko lenye ushindani wa mitandao kama GPS wa Marekani, GLONASS wa Urusi...
Long Range Identification Tracking system ni mfumo ulioanzishwa kwa ajili ya kufuatilia mienendo ya meli ikiwa pwani ya bahari na nje ya eneo la nchi husika.
Huu mtambo hufungwa na nchi husika na kuna makubaliano ya kubadilishana taarifa Kwa wanachama au nchi zilizo sajili meli ambazo hutumia...
AIS-Automatic Identification System hiki ni kifaa kinachotumika kutoa taarifa za meli na huwa kinafungwa katika meli au mnara wa mawasiliano au kuongozea meli (Vessel Traffic Services).
Ufanyaji kazi wake
AIS imeunganishwa na GPS, Satellite, mfumo wa mawasiliano wa VHF, transponder na...
Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level.
Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii.
Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.