system

  1. R

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka sana kuhusu namna ya kuomba kazi zilizotangazwa kwenye system

    Wana Jamii forums elimu heshima Naomba msaada, ninapoingia kwenye hii system ya kuomba hizi ajira, nimekutana na changamoto zifuatazo na nimeshindwa kufanya chochote, email already exist Mara account already exist nimeshindwa kufanya chochote nisaidie jamani mwaka Jana niliomba lakini...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Deki ya DVD Home Theatre (LG) inauzwa 130000/=

    NAUZA DEKI YA LG HOME THEATER DH4530T SPECIFICATIONS 330W (5.2ch) BASS BLAST 1080P FULL HD UP-SCALING USB CONTENTS PLAYBACK HDMI out & SIMOLINK PORTABLE IN NAMBA YA SIMU; 0783696253
  3. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hivi hii work placements system inaweza kufanya kazi kwetu Tanzania?

    Hello JF, Nadhani nishawahi kulileta before.. Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu... Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary... 3-6 Months! za masomo waliyosomea Hio hela inayotumika kuwa train vijana...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa juu ya prime vendor system

    Husika kichwa hapo juu naomba kufahamu juu ya usambazaji wa dawa kupitia mzabuni mmoja kwa kila mkoa. Natanguliza shukurani.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea

    Habari wanaJF? Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea kwa muda kama ambavyo tutakubaliana Aina ya website nazotengeneza 1.Wordpress websites na blogs nafanya kwa shilingi laki mbili mpaka tatu 2.Website ambazo hazina database au static websites.Hizi...
  6. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Mixed Education System: Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au...
  7. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2020 Katibu wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, Dkt. Philip Filikunjombe achukua fomu ya Ubunge Ludewa kupitia CCM

    Mwanasheria Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzaniania (TCRA) ambaye ni Katibu wa Kamati ya Maudhui inayofungia Vyombo vya Habari kwa kukiuka Kanuni za Maudhui mitandaoni, Dkt. Philip Filikunjombe amechukua fomu kuomba kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ludewa
  8. Mtoto wa nzi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Solar Power System

    Kama inavyojieleza ... Ninahitaji uelewa wa solar power sytem ambayo itaweza kuwasha taa 14 na TV ambayo sio ya solar na sehemu ya kuchaji simu. Kwa mahitaji haya mahitaji solar yenye ukubwa gani?
  9. T

    JamiiForums Tanzania School Management System

    Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level. Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii. Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania China yaingia katika ushindani wa ‘navigation satellite system’ kwa kurusha satelaiti ya mwisho

    Leo Juni 23, China imezindua satelaiti yake ya mwisho kukamilisha mfumo wa ‘Geolocation’ unaoitwa BeiDou Navigation Satellite System (BDS) Satelaiti hiyo iliyopewa jina la BeiDou-3GEO3, itakamilisha mfumo wa mtandao katika soko lenye ushindani wa mitandao kama GPS wa Marekani, GLONASS wa Urusi...
  11. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Long Range Identification Tracking (LRIT) System

    Long Range Identification Tracking system ni mfumo ulioanzishwa kwa ajili ya kufuatilia mienendo ya meli ikiwa pwani ya bahari na nje ya eneo la nchi husika. Huu mtambo hufungwa na nchi husika na kuna makubaliano ya kubadilishana taarifa Kwa wanachama au nchi zilizo sajili meli ambazo hutumia...
  12. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Ifahamu AIS (Automatic Identification System)

    AIS-Automatic Identification System hiki ni kifaa kinachotumika kutoa taarifa za meli na huwa kinafungwa katika meli au mnara wa mawasiliano au kuongozea meli (Vessel Traffic Services). Ufanyaji kazi wake AIS imeunganishwa na GPS, Satellite, mfumo wa mawasiliano wa VHF, transponder na...
  13. T

    JamiiForums Tanzania School Management system

    Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level. Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii. Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
  14. T

    JamiiForums Tanzania School Management Platform (schoolinsight) available Now

    Schoolinsight ni mfumo unaotumika ku "manage" taarifa katika mashule kuanzia ngazi ya nursery hadi Advanced level. Mfumo huu ni "software as a service" ambayo tayari ipo hosted kilichobaki ni shule kufungua account na kuanza kutumia huduma hii. Kwa shule ambayo itafungua account itapata 3...
  15. technically

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuchukua nchi bila SYSTEM kuwa upande wako

    Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka...
  16. Kizzy Wizzy

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Ajira Portal

    1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu mwenye Bachelor of Science in respective coarse my dear uki apply inagoma, and vice versa. 2. Mfumo...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System administrator at Vodacom

    Posting Country: Tanzania, United Republic of Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute...
  18. Samedi Amba

    JamiiForums Tanzania System ya Afya (Health Management system) inahitajika

    Habari za asubuhi wanaJF, Majuzi nilipost kuwa nilikuwa nahitaji mtaalam wa kutengeneza health database. Nilipata msaada na asanteni kwa walioniandikia inbox. Leo, nina hitaji lingine: Health Management System (HMS) kwa ajili ya mazingira ya hospitali na zahanati Mteja tunayemfanyia kazi ana...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Information System Auditor at ATCL

    Position: Senior Information System Auditor Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the...
  20. tzhosts

    JamiiForums Tanzania Jipatie Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system and Accounting system kuanzia TZS 49,900

    Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO, Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja? Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system Accounting system CRM system SEO services Online Promotion Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea? Kama...
Back
Top Bottom