Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,116
Naomba kujua changamoto za irrigation system source ya maji ni kisima kirefu 100 mtrs.
Ukimwagilia maji shambani kwa mpira wa kawaida baada ya km mwezi pakikauka panapauka inaiona chumvi chumvi juu ya udongo lakini hayo maji kwa kunywa huisikii kbs chumvi na tunayanywa kama kawaida.
Je, ni nini madhara yake km migomba na parachichi?
Je, unaweza kuimalizaje hiyo changamoto?
Ukimwagilia maji shambani kwa mpira wa kawaida baada ya km mwezi pakikauka panapauka inaiona chumvi chumvi juu ya udongo lakini hayo maji kwa kunywa huisikii kbs chumvi na tunayanywa kama kawaida.
Je, ni nini madhara yake km migomba na parachichi?
Je, unaweza kuimalizaje hiyo changamoto?