Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 448
- 799
CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI
Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu
View attachment 2198199
hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni
(1) ordinary diploma in holder certificate of secondary education with at least 4 passes in non-religious subject and basic technician certificate (nta 4),
(2) bachelor of education in science
(3) bachelor of arts with education na
(4) bachelor of arts (education)
MISSING: Bachelor of Education in Arts
View attachment 2198195
na kingine kina course ya Bachelor of Science (Education) pekee
View attachment 2198200
Kwa upande wa Arts kuna kozi mbili tu ambazo ni
(1) Bachelor of Arts (education) na
(2) Bachelor of Arts with education ambazo zote hizi zina masomo matatu (3) pekee ambayo ni
View attachment 2198198
- Geography,
- English na
- History
- MISSING: kiswahili
View attachment 2198194