special thread

The Unified Thread Standard (UTS) defines a standard thread form and series—along with allowances, tolerances, and designations—for screw threads commonly used in the United States and Canada. It is the main standard for bolts, nuts, and a wide variety of other threaded fasteners used in these countries. It has the same 60° profile as the ISO metric screw thread, but the characteristic dimensions of each UTS thread (outer diameter and pitch) were chosen as an inch fraction rather than a millimeter value. The UTS is currently controlled by ASME/ANSI in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Special thread kwa ajili ya wakemia waliopo kazini ,wanaosoma na wanaotafuta kazi tupeane connection

    Uzi maalum wa wakemia karibuni
  2. S

    Chemists, Quality Control Chemist, Lab Technician Chemists who are on job and who are looking for job, welcome for connection

    Uzi maalum wa Wakemia wasionaajira, wanaotafuta kazi na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection.
  3. Jazajuan

    The Institute Of Finance Management (IFM) Special Thread

    The Institute of Finance Management (IFM) is a public Institute in Tanzania established in 1972. It stands as the oldest higher learning financial institution in Tanzania. The institute has been involved in teaching, research, and consultancy. Currently, the Institute enrolls about 9228 students...
  4. Vien

    Special thread: Copa America 2024 - USA

    Karibu katika speacial thread ya Copa America 2024 inayoendelea kule USA, Tutakua tunaendelea kupeana updates hapa kwa yanayoendelea Mpaka sasa ni Team tatu pekee zimeonyesha kiwango cha juu sana katika mashindano haya Argentina Uruguay Colombia Brazil ameanza haya mashindano vibaya kwa...
  5. Holoholo-Baba Kijacho

    Nyimbo za kisukuma special thread

    Naamu wale wenye nyimbo za asili has a za kisukuma mkuje APA muweke nyimbo tuzidownload
  6. X

    Special thread: Mgogoro kati ya Urusi na NATO

    Uzi huu unaangazia kile kinachoendelea kuhusu mgogoro ulioibuka sasa wa NATO na Russia katika vita vya Ukraine. Ikumbukwe kuwa katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg, alitaka silaha za misaada kwa Ukraine sasa zianze kutumika kushambulia moja kwa moja ndani ya mipaka ya Russia hasa miltary...
  7. Elitwege

    Rais Dkt. Mwinyi anafaa kuwa Rais wa Tanzania

    1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24. 2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi...
  8. Aziwero

    DIGITAL MARKETING SPECIAL THREAD;Where Digital Marketers Meet. Assistance, Tips, New Trends, Opportunities, and Clients

    Habari wanaJamiiForums Karibu kwenye uzi wetu mpya unaolenga kila kitu kuhusu Digital Marketing! Katika enzi ya kisasa ya kidijitali, kuelewa wa uuzaji wa kidijitali ni muhimu kwa biashara, wajasiriamali, na mtu yeyote anayejitahidi kujenga uwepo mtandaoni. Uzi huu unalenga kuwa kitovu cha...
  9. Cainan

    Special Thread: Mashine za aina zote katika miradi midogo na mikubwa

    Habarini wakuu, Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini. Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha (muonekano) na bei yake Post ntazipanga katika sytematic order ambayo itawezesha mtu kupata picha ua...
  10. Killing machine

    Vyakula/matunda na tiba zake special thread

    Habari zenu wakuu?? Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia Kiukweli ni...
  11. tpaul

    Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

    Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia...
  12. Dr Restart

    UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano haya ya kusisimua, yanayofanyika mara moja kila baada ya miaka minne, yataanza kutimua vumbi Ijumaa...
  13. Suley2019

    Iconic Movie scenes and trailers special thread

    Wakuu niaje? Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
  14. Battor

    Leap year Special Thread

    Kwa wote tunaotambua nguvu iliyojificha kwenye namba. Uzi huru kutupia chochote unachoamini ni mafanikio kwako, usikate tamaa jibidishe kwani huu ndo mwaka wa neema kwa wanaojituma. Pia usiache kumshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.
  15. Baltasar

    Taarab: Special thread

    Hii ni special thread Kwa wapenzi wa muziki wa mwambao wa Pwani. Natoa nafasi - Zuhura shaabani
  16. Mjanja M1

    Special Thread: Video za udambwi/manjonjo kwenye mpira wa miguu

    Wanasema mpira sio kushinda magoli tu, bali mpira ni kujua kuuchezea na kuutawala. Huu ni uzi maalumu wa kutupia video za udambwi dambwi wa mastaa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu. Mimi naanza na hawa viumbe wawili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo DONDOSHA NAWEWE CLIP YA VIDEO...
  17. BlackPanther

    Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

    MOROCCO NATIONAL FOOTBALL TEAM 🇲🇦 HONORS: Tafadhali, wenye elements za ubaguzi wapite pembeni, uzi huu hauwahusu!
  18. BlackPanther

    Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

    Moderator kuna thread mbili zimeniijia, naomba ufute hii ambayo haina chochote ndani yake
  19. Greatest Of All Time

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Ni michuano ya 34 ya Mataifa huru ya Afrika ambayo itafanyika Ivory Coast kuanzia January 13 mpaka February 11 ya 2024. Itashirikisha timu 24 ikiwemo sisi Tanzania. Michuano hiyo itafanyika katika majiji matano huku viwanja sita vitatumika katika michuano hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Ivory...
  20. kiwatengu

    Special Thread: Happy New Year 2024, Wishes to JF Members

    Dear JamiiForums Members, As we embrace the dawn of 2024, may your paths be adorned with joy, prosperity, and boundless possibilities. Let the New Year be a canvas of fresh opportunities, where your aspirations paint vibrant hues of success and fulfillment. May the threads of connection...
Back
Top Bottom