special thread

The Unified Thread Standard (UTS) defines a standard thread form and series—along with allowances, tolerances, and designations—for screw threads commonly used in the United States and Canada. It is the main standard for bolts, nuts, and a wide variety of other threaded fasteners used in these countries. It has the same 60° profile as the ISO metric screw thread, but the characteristic dimensions of each UTS thread (outer diameter and pitch) were chosen as an inch fraction rather than a millimeter value. The UTS is currently controlled by ASME/ANSI in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Mothers' Special Thread

    Hamjamboni wanajamvi? Natumai mpo salama kbsa. Huu uzi Ni maalum kwa ajili ya mama zetu.Tuchukue fursa hii kuwapongeza mama zetu kwa Yale mengi mazuri waliotufanyia mpaka tumefikia Hapa tulipo. Wapo wenzetu ambao kwa Bahati mbaya waliondokewa na mama zao wapendwa na Basi tunawaombea kwa Mungu...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Bollywood | Special Thread

    Kwa wapenzi wa Bollywood na matawi yake tungejikusanya hapa kupeana mawili matatu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ngorongoro Kati ya Serikali na Wamasai. Nini chanzo na hatma ya mzozo

    Habari ndugu Watanzania, kuna sintofahamu kubwa inayoendelea huko Ngorongoro katika jamii ya Wamasai kuwa na mgogoro na Serikali. Tuelimishane hapa kwenye huu Uzi kwa wale wenye uelewa wa huu mzozo na tuondoe sintofahamu iliyopo kwa Watanzania kuhusiana na huu mgogoro. JE, nini chanzo Cha...
  4. Google Diggers

    JamiiForums Tanzania University of Dodoma (UDOM) special Thread

    Full name: The University of Dodoma Shortform(s): Udom Founded: 2007 as State Huge University in the country Location: Dodoma Capital City Website: udom.ac.tz Mods please put this thing 📌 on this university thread Mambo mengi ya Chuo hiki yanapatikana kwenye link chini. Ndio maana...
  5. Ituzaingo Argentina

    JamiiForums Tanzania RS Berkane (The Oranges Boys) Special Thread

    RS Berkane Renaissance Sportive de Berkane (Arabic: النهضة الرياضية البركانية) commonly known as Nahdat Berkane or RS Berkane for short, is a Moroccan sports club based in Berkane, Morocco. The club's football team is currently playing in the first division of Moroccan championship Botola. The...
  6. Joseverest

    JamiiForums Tanzania TUBONGE KIUME: Uzi maalumu wa Kijiwe cha Wanaume

    Habarini za muda huu wakuu, Leo nimeona tuzungumze jambo moja hasa kwa sisi WANAUME. Nimeanzisha thread hii kwa ajili ya sisi kujadili "mambo yetu" kwa lengo la kufundishana, kuhabarishana, kuonyana na kuelekezana kadiri ya "miiko ya jinsi ya kiumeni" Najua kuna watu wataniona mtu wa ajabu...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Batle la picha miaka ya 90 na sasa

    Salaam wakuu, Nimeleta uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kujikumbushia kwa picha hali ya mambo mbalimbali yalivyokuwa miaka ya 90 na yalivyobadilika kwa sasa. Wale wazee wenzangu tutiririke watoto wajue tulikotoka
  8. Skylar

    JamiiForums Tanzania Special thread: Missing someone with special memories in your life

    As humans, we naturally connect to people and build bonds and relationships over time. We can miss people for a multitude of reasons, but one thing is for sure, once that emotion arises, it can be hard to shake it. When you miss someone there's no denying that raw emotion. You can't get it out...
  9. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Special Thread to learn HTML, CSS and JAVACRIPT (Web Development) by Binadamu Mtakatifu

    Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji. Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana. Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Salaam Wakuu, Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine. Picha zinahusu mafanikio ya Ukraine. Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Pape Osman Sakho Special Thread

    Hii ni kutambua uwezo mkubwa wa huyu Mchezaji ambaye hakuna wa kufanana naye katika wote wanaocheza Ligi ya Tanzania
  12. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Fishes & Marine life special thread.

    Feng shoi au horn flower ni kati ya samaki bora kabisa kati ya waliochaguliwa kutengeneza mazingira ya furaha na kuvutia katika mazingira ya nyumbani. Kwa afya bora. Samaki huyu ana aminika kuleta bahati.
  13. Frustration

    JamiiForums Tanzania Dream League Soccer Special Thread

    Hapa ni mahala salama kwa mpenzi wa Dream League Soccer(DLS). Game hili limetengenezwa na Kampuni ya FIRST TOUCH SOCCER(FTS). Game la DLS ni game bora zaidi kwa sasa duniani kwa upande wa soccer. SIFA PEKEE YA DLS 1. Linachukua nafasi ndogo kwenye simu. Pamoja na ubora wake wa graphics bado...
  14. tpaul

    JamiiForums Tanzania Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

    Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Awali ya yote naomba ku declare interest kwamba mimi ni mhitimu kutoka SUA miaka mingi iliyopita wakati...
  15. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania 2021 AFCON Special Thread

    Michuano ya Afcon imefika, ni hapo kesho ndio inatarajiwa kuzinduliwa. Itafanyika kuanzia kesho Januari 9 mpaka Februari 6 mwaka huu. Michuano hii ilibidi ifanyike mwaka jana 2021 ila kwasababu ya Covid-19 ikahairishwa. Hivyo inafanyika mwaka huu ila ina jina la mwaka jana. Mwenyeji wa...
  16. Mario Kempes

    JamiiForums Tanzania Safari za Maulid Kitenge Marekani

    Hivi huyu mwamba huwa ana makazi huko? Au anafanya biashara gani huko kwa Joe Biden? Maana kwa mwaka mmoja anaweza kwenda Marekani hata mara nne au tano! Juzi tu hapa kabeba familia nzima kwenda nayo huko akiwemo mama yake mzazi. Jamaa yuko vizuri! NB: Mapovu pelekeni mkafulie
  17. S

    JamiiForums Tanzania STREET KNOCKOUTS special thread

  18. Saa kumi na moja

    JamiiForums Tanzania Ingekuwaje kama...Special Thread

    Ingekuwaje kama... 1. Binadamu akila chakula mara moja halitena mpaka mwisho wa maisha yake 2. Muda wote upo macho hamna usingizi 3. Jua wala umeme haupo duniani 4. Viumbe wote ni jinsia moja 5. Hakuna matajiri wala masikini 6. Binadamu hana tumbo la kuhifadhia chakula 7. Hakuna...
  19. Nairobi Gossip Club

    JamiiForums Tanzania East Africa DJs & Mcs current events special thread✅

    a thread for all DJs and Mcs around East Africa to show their performance content and cross share ideas among us during this hard times.welcome all🙏🙏🙏
  20. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Mbeya kwanza FC special thread

    Kama wewe ni mpenzi wa timu hii ya Mbeya iliyopanda daraja msimu huu karibu tujadili mambo gani muhimu yanatakiwa ili timu hii isishuke daraja.Katika maandalizi ya kuelekea ligi kuu timu hii imechukua kombe liloanzishwa na mkuu wa mkoa wa Mbeya baada ya kuifunga timu ya Ihefu fc.
Back
Top Bottom