Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayo soma form five na six ndio inayosomwa U.S, China na mataifa mengine duniani.

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Aug 28, 2020
2,204
2,083
Habari za Leo wakuu,

Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine.

Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma. Ila hesabu, na maelezo yote ni yaleyale. Principal ni zile zile.

Na tatizo hili linatokana na ukosefu wa vifaa vya kufanyia hizo practical.

Basi mimi ningeshauri tuanzishe kampeni ya uchangishaji wa fedha za kununulia vifaa vya maabara za shule zetu za Advance kwa somo la physics na chemistry.

Tuhakikishe practical zote za kwenye vitabu vya CHAND zinafanywa na wanafunzi wetu.

Alafu tusikilizie baada ya miaka mitano mtakuja kunipa mrejesho.

Elimu tunayo soma Advance kwenye masomo ya sayansi (Physics na Chemistry) kama ingekua na practical za kwenye vile vitabu tungeendelea sana kiteknolojia.

REJEA HIVI VITABU
CHAND XI ADVANCED PHYSICS
CHAND XII ADVANCED PHYSICS
CHAND XI ADVANCED CHEMISTRY
CHAND XII ADVANCED CHEMISTRY
N. K
Vitabu vingine wataviorodhesha wachangiaji.
 
Habari za Leo wakuu,
Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine.
Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma....
cc prof Ndalichako. Siyo sekondari na vyuo pia.
 
Elimu tunayo soma Advance kwenye masomo ya sayansi (Physics na Chemistry) kama ingekua na practical za kwenye vile vitabu tungeendelea sana kiteknolojia.
Nadhani itabidi tuje kuahirisha sherehe moja tununue vifaa. Au wabunge wakatwe mishahara.
 
Kwahiyo ulidhani nje wanasoma physics nyingine? Kwamba gravitational force wanayosoma wao sio sawa na 9.807 m/s² au?

Kila unachosoma kimetoka kwao so it's a no brainer tunachosoma ndo wanachosoma.
 
Kwahiyo ulidhani nje wanasoma physics nyingine? Kwamba gravitational force wanayosoma wao sio sawa na 9.807 m/s² au?

Kila unachosoma kimetoka kwao so it's a no brainer tunachosoma ndo wanachosoma.
ndio hivyo mkuu, sisi tumekosa practical tu. Kwenye upande wa chemistry na physics ndio muhimu zaidi. Nchi ingewekeza Sana kwenye practical za Advance kwasaababu huko wanakwenda watu wenye uwezo zaidi hakika nchi hii ingeendelea haraka Sana.
 
Habari za Leo wakuu,

Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine.

Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma. Ila hesabu, na maelezo yote ni yaleyale. Principal ni zile zile.

Na tatizo hili linatokana na ukosefu wa vifaa vya kufanyia hizo practical.

Basi mimi ningeshauri tuanzishe kampeni ya uchangishaji wa fedha za kununulia vifaa vya maabara za shule zetu za Advance kwa somo la physics na chemistry.

Tuhakikishe practical zote za kwenye vitabu vya CHAND zinafanywa na wanafunzi wetu.

Alafu tusikilizie baada ya miaka mitano mtakuja kunipa mrejesho.

Elimu tunayo soma Advance kwenye masomo ya sayansi (Physics na Chemistry) kama ingekua na practical za kwenye vile vitabu tungeendelea sana kiteknolojia.

REJEA HIVI VITABU
CHAND XI ADVANCED PHYSICS
CHAND XII ADVANCED PHYSICS
CHAND XI ADVANCED CHEMISTRY
CHAND XII ADVANCED CHEMISTRY
N. K
Vitabu vingine wataviorodhesha wachangiaji.

kwahiyo ndo umefanya ugunduzi leo? Wewe mwanzo ulifikiri wanasoma vitu gani ihali material yote tunayotumia waandishi ni wao?
 
ndio hivyo mkuu, sisi tumekosa practical tu. Kwenye upande wa chemistry na physics ndio muhimu zaidi. Nchi ingewekeza Sana kwenye practical za Advance kwasaababu huko wanakwenda watu wenye uwezo zaidi hakika nchi hii ingeendelea haraka Sana.

Nakumbuka watu walikuwa wanafundishwa namna ya kufoji practical! Hii nchi bado tupo kwenye ujima.
 
Hii nchi wanaangalia kufaulu paper tu,hawataki kujua umetumia mbinu gani kufaulu.
 
Back
Top Bottom