single

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. mchakavumlasana

    Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

    Kwa wanawake wote ambao mmeolewa..... Mko kwenye ndoa zenu....... Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu............. Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle.... Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu...
  2. sky soldier

    Mtoto wa kiume anaelelewa na single mother kuna uwezekano mkubwa akawa "beta male"

    Muhimu: watoto wa kiume wanaozungumziwa ni wale ambao wapo sana na mama zao, achana na wale ambao wana lelewa na single mothers ila wana farher figures au wana kampani kubwa ya wajomba au hata kuwa na marafiki wanaume wenye maadili. Sababu kubwa ni kwasababu wanawake wanalea watoto kwa...
  3. Junior83

    Toyota Prado inauzwa

    Toyota Prado Diesel 2012REG no DHB74000 KMS2980 CC1KD diesel enginerunning greatno faultssingle userno accidentsnew good year tyresclean int
  4. yuda75

    Ukiwa single kazi sana kupata mpenzi mpya

    Habarini wadau Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia. Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
  5. Sky Eclat

    Kama uko single weka picha yako hapa tuangalie tatizo liko wapi

    Malalamiko yamekua mengi, tushirikiane kutakua hili tatizo.
  6. Equation x

    Tusiotaka kufunga mwaka tukiwa 'single'

    Tunakimbilia 'December' funga mwaka, kama malengo yako ya kuoa / kuolewa yamefanikiwa, tunakupatia pongezi; kama bado kufanikisha, tunakupa pole pia tunakushauri ujikague na ujirekebishe na usonge mbele. Kupitia uzi huu, jaribu kunadi sera zako ili wale wasiotaka kufunga mwaka wakiwa makapera...
  7. buffalo44

    Nahitaji Chumba Single Sinza, Magomeni Kanisani, Kawe, Mbezi au Goba

    Hello wakuu. Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi. Dalali niseme hela yako inaniwia ngumu. Ikiwa 50% nipo tayari. Msaada wenu.
  8. Bemendazole

    Chonde chonde PPRA, waruhusuni TRC kuchagua mkandarasi wa kujenga reli kwa mfumo wa single source for a National interest

    Nimeona kwenye magazeti juu ya mvutano wa PPRA na TRC kuhusu mfumo wa kuchagua mkandarasi wa kujenga reli. Nawaomba PPRA waangalie jambo hili kwa maslahi mapana ya taifa ili kuwawezesha TRC kupata mkandarasi atakaye weza kujenga reli at EUROPEAN standards. Mkiruhusu international competitive...
  9. Sky Eclat

    Wale wako single kuna huyu dada anatafuta mchumba

    Ni mpenda mazoezi na ukiwa nae huhitaji bouncers
  10. katoto kazuri

    Mada za mwaka huu na experience yangu humu wakati nipo single

    Humu mada nyingi nizakuachwa. Umri sio tatizoo tatizoo ni kuwa makini katika uchaguzi . Mke mwema huja mwenyewe asilimia kubwa tatizo hao mnawapuuzia mnaishia kupata wanawake ambao bila hela wewe sio kitu. Mwanamke anayekupenda niyule ambaye ukiishiwa anakujali hata kimawazo hakukimbii. Wakati...
  11. J

    Naombeni ushauri jinsi ya kuanza maisha ya kuwa single

    Mimi ni mdada na kazi yangu na maisha yangu, nimekuja kuomba ushauri jinsi ya kuweza kuishi single maana mchumba niliyekuwa naye ameniumiza. Nataka nianze kuwa single, niishi vipi mpaka nimsahau kabisa na maisha yaendelee?
  12. Behaviourist

    Two world on single earth

    My take: Mtu mweusi ni Kima aliechangamka.
  13. Emmanuel180

    Unahisi nini kitakutokea kama ukiendelea kuwa single?

    Watu wengi wanaogopa sana kuishi bila mpenzi hasa wanawake sasa nataka kuuliza shida gani unaipata ukiwa uko single wewe mwanaume au mwanamke?
  14. M

    If you are single please open this

    1. Timing in life is everything. 2. The two most powerful warriors are patience and time. 3. know that to love yourself is the beginning of a life long romance 4. Being single is definitely better than being with the wrong person 5. Use this time to learn about yourself; the beginning of all...
  15. Akthoo

    INAUZWA Single line hand held laser scanner

    ZIKO 5; KWA ANAEZITAKA PIGA 0784636291 DAR
  16. I

    What are the rationale for China to be the second ecomic giant in the world despite the single party?

    In our counties like Tanzania, some people are brainwashed that we need the multyparty system to reach our economic development. Is this true? If yes why is it that China is contrary to our thinking?
  17. Tajiri Tanzanite

    Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

    Hapo vip!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu. Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na...
  18. thegreat1510

    Msaada: Nahofia nitakuwa single milele

    Nina miaka 20, lakini sijawahi kuwa kwenye mahusiano na msichana yeyote. Siko romantic kabisa. Sina aibu lakini najikuta nashindwa kutabasamu mara kwa mara na msichana jambo linalopelekea wengi wao waniogope. Ninatumia njia ya kufanya mazoezi kupunguza hisia za mapenzi, sijisikii vibaya kuwa...
  19. Omela Odongo

    Enyi wanaume acheni kuwapiga mawe wanawake wakati ninyi ndio mnaowazalisha

    Nawasalimia Wana jf wote nikitumai mu wazima na weekend hii tulivu. Mimi ni member mpya katika jukwaa hili kwa kuandika na kuchangia maada lakini nimeanza kuichungulia Jamii forum tangu mwaka 2010. Niende kwenye maada moja kwa moja, nimekuwa nikisoma maada humu kwenye jukwaa...
  20. Regent

    Nimechoka kuwa single nataka kuingia kwenye mapenzi

    Nimekuwa Single muda mrefu aisee kuwa Single kwa mtu mzima basi tu ila unaona kuna kitu umemisi bored, stressed...ukiwa mtu mzima sense of belonging muhimu. Japo mambo yaja settle...nataka niingie kwa mtoto mmoja wa Stationary huyu manzi yupo Humble sana ndicho kilichonivuta mtu fulani kama...
Back
Top Bottom