Mpondoshilla
Member
- Jul 4, 2022
- 36
- 127
Yaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kama shida ni chozi tu au kuna lingine?Hakuna movie itakayokutoa machozi huku ukiwa unaitazama kwa kuipima
Sijamuelewa huyu ndugu yetuHivi kama shida ni chozi tu au kuna lingine?
Miracle in the cellMkuu kuna movie sema nimeisahau jina lake.Ni movie ya kidini,kuna jamaa,mwanaume kama ana matatizo ya akili ila ana mtoto wa kike na mama yake(bibi yake mtoto).Kuna wakati atapelekwa jela kwa kusingiziwa kumuua mtoto wa jeneral wa jeshi.Katika jela atakutana na waislamu ambao wataishi naye vizuri na wakimsaidia kutoka jela.
Note;movie ya kikristo.
Mapenzi ni uchizi.
Ushavurugwa huko unalazimisha chozi kwenye movie.
Ndugu..... pole kwa yaliyokukuta.
Hapa asipotoa machozi sijui.Miracle in the cell
Hivi hii the walking dead imeishia season ngapi?Sema ni series ila hii episode ingekuliza tu. Inasikitisha sana
View attachment 2288401
View attachment 2288403
Hii nakumbuka nishawahi kuiangalia ni nzuri sana mkuuNyingine ya Kijapan ya "Hachiko-a dog's Tale."
Based on true events
Kesi ya Halima Mdee na Chadema, mie huwa nalia ka mtotoYaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi