Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 323
- 954
Habarini ndugu zangu,
Acha niende kwenye mada moja kwa moja, iko hivi kumekuwa na misemo ya kujifariji kwa sisi vijana eti 'kuwa single unainyoy ' au 'ukiwa single unakuwa huru na mambo yako ' na maneno mengine mengi lakini Ukweli kuwa single ni shida.
Binafsi nina experience ya kuwa Single kwa muda mrefu pengine kuzidi nyote humu lakini niseme tu HAKUNA RAHA YOYOTE ZAIDI YA MAWAZO TU.
Ni vile kutokana na Uchumi au sababu zilizo nje ya uwezo wetu lakini hakuna mtu anaependa kuwa single.
Ukweli kuwa na mpenzi hasa mnaependana kuna raha tena ya aina yake.
Acha niende kwenye mada moja kwa moja, iko hivi kumekuwa na misemo ya kujifariji kwa sisi vijana eti 'kuwa single unainyoy ' au 'ukiwa single unakuwa huru na mambo yako ' na maneno mengine mengi lakini Ukweli kuwa single ni shida.
Binafsi nina experience ya kuwa Single kwa muda mrefu pengine kuzidi nyote humu lakini niseme tu HAKUNA RAHA YOYOTE ZAIDI YA MAWAZO TU.
Ni vile kutokana na Uchumi au sababu zilizo nje ya uwezo wetu lakini hakuna mtu anaependa kuwa single.
Ukweli kuwa na mpenzi hasa mnaependana kuna raha tena ya aina yake.