single

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Tanzania 3 years ago today, Dua Lipa released 'Break My Heart'

    3 years ago today, Dua Lipa released Break My Heart as the third single from 'Future Nostalgia.'
  2. H

    JamiiForums Tanzania 14 years ago today, Lady Gaga released “LoveGame” as a single from ‘The Fame’

    14 years ago today, Lady Gaga released “LoveGame” as a single from ‘The Fame.’ The track was praised for its now-iconic “I wanna take a ride on your disco stick” hook. It reached the top 10 in various countries, peaked at #5 on the Billboard Hot 100 and is certified 3x Platinum by Recording...
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Trend ya single mothers wasomi kuwa na mtoto moja pekee, ni athari gani mtoto hupata akiwa hana kaka, dada ama mdogo wake.

    Na hii nimeifanyia research kutoka kwa mabinti wengi waliohitimu chuo, wapo wengi wana mtoto moja tu huku baba akiwa hayupo aidha kwa ndoa kuvunjika (ni kawaida kwa mabinti wasomi) ama walizaa kabla ya ndoa baba kala kona. ni effects zipi mtoto anapata akiwa hana dada kaka wala mdogo wake ?
  4. McCollum

    JamiiForums Tanzania Hizi ni baadhi ya athari za malezi ya single parents

    Watoto wanaolelewa na ma-single parent, either wanaoishi na wakina baba tu au wakina mama pekee wanajazwa chuki na malezi yao yanakosa mlinganyo mzuri. ============================== Salamu, kwa walionizidi umri nawapa salamu yangu ya heshima, kwa wengine itoshe kusema habari za saizi. Kabla...
  5. Protector

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

    Habari wanajukwaa, Moja kwa moja kwenye mada. Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua. Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa...
  6. Bundakwetu

    JamiiForums Tanzania Single Again, shikamoo Harmonize

    Itoshe kusema wewe unajua na usikate tamaa tunategemea nyimbo nyingi nzuri mwaka huu Mungu akulinde sana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuongee na Madaktari

    Wanabodi hali ni mbaya sana huku majumbani. Madaktari Madakatari Madaktari.... Sijui mmevurugwa na nini? Sijui ni kwa maksudi au kwa sababu ya Utaalamu kiduchu au Mshahara hautoshi? Au mmeamua kutukomesha? Usiombe Mchumba /Mkeo wako ajifungue kwa njia ya kawaida kupitia kwenye Uzazi wake...
  8. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona huku Zanzibar hakuna single mother?

    Single mother ni zao la Uzinzi. Kama sio mbona hapa Zanzibar hakuna single mother? Na Kama wapo ni wachache mno na wanaume wengi wamewastiri .
  9. Double line

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Thread ya single boy na wanaume ambao hawajawahi kushiriki tendo la ndoa (bikra wa kiume)

    Kama uzi unavyosema, kwa wale wanaume masingle namaanisha hana mke na yupo katika kutafuta ubavu wake wa kushoto na wale wanaume waliotunza heshima kwa ajili ya mke mtarajiwa (bikra wa kiume) Tungependa mtugee mrejesho wa yale mnayopitia; namaanisha raha za kuwa katika mahusiano na changamoto...
  10. The lastborn9319

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau nimeshanasa Kwa single mazeri

    Nianze tu kwa kusema,Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni against single mothers,lakini wahenga walisema "usitukane mto kabla ya kuvuka mamba"..huyu single mother ni mzuuuri balaa, yuko fresh kila idara ana Mt*ko wa kwenda,kasura sasa kama beyonce huyu hapa..kwenye mapenzi ndo usiseme,hapa ndo...
  11. IamBrianLeeSnr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amri kumi za kukumbukwa kwa mabinti wote ambao hawapo kwenye mahusiano Duniani

    1. Usiharakishe kutoka nyumbani kwa wazazi wako kwa gia ya kwenda kuolewa. 2. Usimsubiri mwanaume mpaka aje ndio uanze kuishi. Unaweza kuishi maisha timilifu hata ukiwa huna mwanaume. 3.Achana na pombe zimewauwa wenzako wengi kwa kisingizio cha kuondoa stress na wewe unaweza kufa pia. 4...
  12. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single men and women are not good enough to keep pace with good partners, don't blame just regret for your filthy habits

    Hi guys, recently we have had an alarming and intensifying number of single men and women in our society, this has suspiciously and partly been accounted by their bad habits/dubious manners that has hampered them from keeping pace with their good and blessed partners. Most of these singles...
  13. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Idadi ya 'single parents' itaongezeka zaidi

    Kwa mtazamo wangu, ninaona miaka 10 ijayo idadi ya single parents itaongezeka mara dufu ukilinganisha na kipindi kilichopita kuanzia miaka ya 90 kurudi nyuma. Kwa miaka hiyo, wanandoa walikuwa wanapatana kuishi pamoja hasa baada ya kupendana. Dhana kuu ya umoja wa ndoa ilikuwa ni kuishi bila...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Nauza au kukodisha Pick Up Nissan Single Cabin usajili ni DBW

    Nauza au Kukodisha pick up Single cabin Imenunuliwa 2014 ikiwa mpya kutoka South Africa. Namba ya Usajili T4....DBW Kwa Yoyote atakaye hitaji napatikana kwa 0767 848423
  15. Iziwari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kifanyike kuwepo kwa single mother

    Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanawake wanao lea Watoto wenyewe katika jamii zetu. Sio kwamba ni sifa mbaya lahasha, bali ni moja ya mfumo unaoanza kuzoeleka na kufanywa kuwa kama ndio mfumo wa Maisha. Na nikisema wanalea wenyewe namaanisha bila kuwa na baba kama msimamizi. Lengo kuu la...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

    NASISITIZA; BINTI USIZAE KABLA HAJAKUOA "EPUKA KUWA SINGLE MOTHER" Na, Robert Heriel Elewa kuwa jukumu la kubeba mimba Kwa mwanamke ambaye hajaolewa ni lake mwenyewe sio la mwanaume. Sisi wanaume hatuna muda wa kuwaza mambo ya mimba ambayo hayatuhusu Kwa watu ambao hatujawaoa. Ndio maana hata...
  17. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Maza kiboko ya Wavulana

    Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande mbili",,,"unaoa single Maza Una akili timamu kweli?" Swali kwenu wavulana hao ambao sio single Maza mnao chapiwa...
  18. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

    Watu humu mambooz. Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili. Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha...
  19. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kushindwa kutekeleza maazimio ya Eneo moja la forodha

    6 October 2022 Namanga, Kajiado Kenya KENYA KUSHIDWA KUTEKELEZA MAAZIMIO YA ENEO MOJA LA FORODHA / SINGLE CUSTOMS TERRITORY, KUMELETA KERO KUBWA WaBunge 'wasomi' kutoka Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki, hili nalo kwa kushirikiana na serikali mkalitatue jambo hili la Eneo la Forodha...
  20. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mlio single muda huu naomba kampani

    Wanawake wote mliosingo nawaomba mje mnipe kampani. Nawakaribisha sana, njooni na maneno matamu yaliyoshiba mahaba.
Back
Top Bottom