Tuma imei yako inbox na email then nikusaidie kwa hiloHabarini za saizi wadau wa Jamii Forum. Nimepoteza simu ya Tecno camon 11 leo, nilikua naomba msaada wenu wa ushauri ni nini hatua ya kwanza ya kuchukua kuanzia sasa na ni namna gani nitaweza kuipata simu yangu. Asanteni sana
Duuh pole sana nilitaka nikusaidie chapImei kaka ndo nimeisahau, ndo napekua pekua kama kuna mahali nishawahi kuisev
😂 😂 😂 😂Nilijua ni iPhone 11 pro max
Hayanitakujulisha nikiipata mkuu pm
Ingia kwenye acc yako ya google kupitia kompyuta utaikuta imei yako hukoImei kaka ndo nimeisahau, ndo napekua pekua kama kuna mahali nishawahi kuisev
Unakuta sehemu gani ukiingiaIngia kwenye acc yako ya google kupitia kompyuta utaikuta imei yako huko
N3mda na imei polisi karipot na waambie unataka kuifuatili
Itakugharimu pesa kuanzi elf50 na kuendelea
Na kuna uwezekano mwizi akabadili imei....itakua ndio imeisha hiyo
Hii unaikuta wapi mkuuIngia kwenye acc yako ya google kupitia kompyuta utaikuta imei yako huko
N3mda na imei polisi karipot na waambie unataka kuifuatili
Itakugharimu pesa kuanzi elf50 na kuendelea
Na kuna uwezekano mwizi akabadili imei....itakua ndio imeisha hiyo
Unakuta sehemu gani ukiingia
sawa sawaIngia kwenye acc yako ya google kupitia kompyuta utaikuta imei yako huko
N3mda na imei polisi karipot na waambie unataka kuifuatili
Itakugharimu pesa kuanzi elf50 na kuendelea
Na kuna uwezekano mwizi akabadili imei....itakua ndio imeisha hiyo
Sio mpaka upekue kwan we hukuwa unatumia na email ..then login kwenye device yoyote utapata IMEI zakoImei kaka ndo nimeisahau, ndo napekua pekua kama kuna mahali nishawahi kuisev