simu

  1. JamiiForums Tanzania Matatizo ya Mitandao ya simu

    Habari wana jf, kuna tatizo kubwa hasa kwa mitandao ya simu usipo tumia line yako ya simu kwa muda flan anapewa mtu mwingne Kwa sababu namba yako ya simu si namba tu tena. Imeunganishwa na akaunti yako ya benki. Barua pepe yako. Akaunti zako za kazi. Maisha yako binafsi. Mara tu namba hiyo...
  2. JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kemeeni tabia za wafuasi wenu za kutukana viongozi wetu kupitia namba za simu

    Wote tunajua kuwa kwa Chadema matusi ni sehemu ya Siasa zake. Lakini jueni kuwa ulimwengu wa sasa umehama kutoka kwenye siasa za matusi kwenda kwenye siasa za hoja. Hii tabia za kuwatukana viongozi wetu IKOME! Tunaomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viwapate wachacche kama sample tu ili...
  3. JamiiForums Tanzania Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

    Kama unadhani simu aina ya Samsung ni simu ya kawaida subiri kioo kipasuke ndo utanielewa namaanisha nini. Kioo kikipasuka na ukataka kuweka kingine, bei inaweza kuwa nusu ya au zaidi pesa uliyonunulia simu, Kwa hiyo kama unamiliki simu aina ya samsung jipige kifuani sema mimi ni shujaa, Wale...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Hata Marekani watu wanapotea

    Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.
  5. JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini tanesco upande wa luku wasiwe wanakopesha kama mitandao ya simu .

    Yani kuna mazingira unakuwa unashida au huwezi pata huduma labda ya kuweka hela kwenye simu wakati huo unauhitaji labda wa kumunua units (luku) hadi inakuchukulia kulala giza au kushindwa kufanya kazi kwa sababu ya umeme kuisha. Kwenye mitandao ya simu kuna huduma ukitaka kukopa vocha/salio...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani ya kutumia simu zisizopokea new software updates au security updates?

    Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security updates ifikapo 2027. Je simu kama hiyo na nyingine nyingi zisizopokea updates tena zina effects gani...
  7. JamiiForums Tanzania Trump: sihitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote, nchi za NATO zinanipigia simu kutoa msaada" Ulaya wamekanusha

    Wanaukumbi. BREAKING: TRUMP IMEFICHUKA ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Trump โ€“โ€“ "Sasa wakati sihitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote, nchi za NATO zinanipigia simu kutoa msaada" Ukweli wa Kufurahisha: ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Italia ilikubali haikumpigia Trump simu ya msaada ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง Uingereza ilikubali haikumpigia Trump simu ya msaada ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ...
  8. JamiiForums Tanzania Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima!

    ๐Ÿš—โšก KWANINI ABIRIA WAKO WAKOSE CHARGE? Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima! Jipatie Car Fast Charger inayoweza kucharge hadi simu 6 kwa wakati mmoja ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”Œ Type-C + USB (Fast Charging) ๐Ÿ“ Cable ndefu โ€“ inafika hadi siti za nyuma ๐Ÿ’ก LED ya kisasa inayovutia ๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘งโ€๐Ÿ‘ฆ Inafaa kwa dereva...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Dar: Usalama duni wa watoto wanaoenda kuogelea Jangwani Sea Breeze Beach, nani anawajibika?

    Siku ya sikukuu ya Idd, watoto waliniomba niwapeleke eneo la kuogelea. Nilishauriana na mke wangu, naye akapendekeza tuwapeleke Jangwani Sea Breeze, kwani ni sehemu iliyo karibu, na pia watoto wamekuwa wakisikia ikitajwa na wenzao shuleni. Nilikubali. Nikawasha gari, mimi na mke wangu...
  10. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Urembo wako usiwe guarantee ya kudate na wanaume kibao Ili wakuweke mjini. Acha kushinda saloon binti acha kushinda mtandaoni kutingisha makalio, kurembuarembua Ili upate likes. Kama mrembo, mbona warembo wapo kibao na wengine walishaiga dunia. Na bado kuna wengine daily wanazaliwa. Punguza...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Taja kampuni kama unaijua: Bei ya simu laki 4, kioo kikivunjika gharama yake laki 3 na osheee

    Wakuu, Naona niendelee kutumia infinix na TECNO ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wakuu simu yangu haisomi line ,na wi-fe,hotspot, Bluetooth haziwaki

    Simu in Samsung A12 Nili nunua unboxed haijawahi sumbua kabisa ,ila hili tatizo lime anza baada ya kubadii kioo Nili peleka kwa fundi aka badili waya wa mtandao lakini tatizo Bado lipo aka suggest ni flash nimekuja kwenu wajuzi njia mbadala kabla ya iyo kuflash Note Simu haisomi kabisa ina...
  13. JamiiForums Tanzania Simu nzuri ya kifahari kwa Mwanaume ni Samsung

    Kampuni ya Samsung inajua kumpa Mwanaume bidhaa anayotaka sio kama wale jamaa flani wanaotengeneza simu zilizopambwa kama za kike Simu ina shine nje na ndani utafkiri imepakwa siagi Mwanaume na viatu vinavyowaka taa wanaelewana vipi Samsung watazidi kula kihalali hela za Wanaume Hata...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Serikali angalieni hili la makampuni ya simu

    Hasa hasa YasTanzania #YasTanzania hawa jamaa kila ukinunua umeme mara nyingi utakutana na changamoto ya kukosa token na ukiwapigia simu unajibiwa kirahisi tu kwamba jihidumie au subiri masaa 24 ya kazi yaani siku tatu, Na ukijihudumia unakutana na majibu kwamba hakuna muamala umefanyika, kwa...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Stendi ya NaneNane โ€“ Mbeya taa haziwaki usiku, tunalazimika kutumia tochi za simu

    Watumiaji wa Stendi ya NaneNane Mkoani Mbeya tuna changamoto inayohusiana na usalama wetu, kwani nyakati za Usiku abiria wanaoshuka hapo wanakutana na giza kwa asilimia kubwa. Taa zipo ila haziwaki, tunateseka sana, tunalazimika kutumia mwanga wa simu, hatujajua shida nini. Tatizo hili...
  16. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuzingatie kitu gani tunapokwenda kununua simu ili tupate simu bora?

    Huu wakati ambao asilimia kubwa ya vitu tunategemea simu aidha kama njia ya mawasiliano, wengine simu ndio ofisi yaani wanatumia kuingizia kipato au wengine kama vifaa vya kujiburudisha kwa kuchezea magemu inahitaji ujuzi na akili kubwa kuweza kufanya machaguo ya wakati wa kuingia sokoni. Sasa...
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    UI ya simu (User Interface) ni muonekano na njia mtu anavyokuwa connected na simu, ikijumuisha unachokiona kwenye screen yako, menus, icons, na animations. Mfano ni One UI ya Samsung, HyperOS ya Xiaomi, au MIUI, ambazo zinabadilisha jinsi software inavyoonekana na kufanya urahisi wa matumizi...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini Hospitali ya Wilaya ya Ubungo haiwaruhusu wagonjwa kuingia na simu kwa baadhi ya wodi, Je, ndiyo Sheria inataka hivyo?

    Naomba tuwasilishe changamoto ya Hospital ya Wilaya ya Ubungo kutowaruhusu wagonjwa kuingia na simu wodini (wodi ya wazazi na emergency kwa watoto). Hii ni hatari sana kwani ni kumnyima mgonjwa haki ya kuwasiliana na ndugu zake, na endapo akapata changamoto yoyote kabla ya ndugu kumtembelea...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB 256) hadi TZS 3,900,000 (GB 512). Kwa wanunuzi wanaozingatia bajeti, mnaweza kuangalia Nothing Phone...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kitengo cha Mapokezi Hospitali ya Rufaa Mbeya hakina huduma nzuri, kuna mtumishi anaongea sana na simu, hajali wagonjwa

    Watu wa Mapokezi ya Wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya hawana huduma nzuri kabisa kwa Wananchi wanaofika kituoni hapo. Mfano kuna mtumishi mmoja anaongea na simu muda mwingi bila kujali wagonjwa walio mbele yake, amekuwa na kawaida ya kufanya hivyo na hajali wanaohitaji kuhudumiwa. Mbali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ