Bijang
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 393
- 788
Habari zenu Wanabodi?
Natumai mpo vizuri,
Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200.
SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu, ukija kusikia mtandao wakinadi, utasikia wametoa gawio la 2B, sasa si Bora wakateua watu wachache kwa kuangalia hata transaction nyingi na kubwa walizofanya Kisha wakawapa hata kuanzia 1M nakuendelea kuliko kututmia Sisi hiki Kiasi kidogo. Au kwamba wakituma Kiasi kidogo ndo hawakatwi Kodi kuliko Kiasi kikubwa.
Nawasilisha
Natumai mpo vizuri,
Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200.
SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu, ukija kusikia mtandao wakinadi, utasikia wametoa gawio la 2B, sasa si Bora wakateua watu wachache kwa kuangalia hata transaction nyingi na kubwa walizofanya Kisha wakawapa hata kuanzia 1M nakuendelea kuliko kututmia Sisi hiki Kiasi kidogo. Au kwamba wakituma Kiasi kidogo ndo hawakatwi Kodi kuliko Kiasi kikubwa.
Nawasilisha