Nawezaje kukopa kupitia Mtandao wa Simu?

Nawezaje kukopa kupitia Mtandao wa Simu?

sam green

Senior Member
Joined
Feb 21, 2020
Posts
190
Reaction score
293
Habari wakuu, msaada wa mawazo kuhusu jambo linalo nisibu,

Mimi nimeajiliwa sehemu, Nimekaa kwa muda kias, Boss wangu, katika Makubaliano, ni kufanya kaz, huku nikihesabu mshahara wangu Hatimae mshahara umefikia 3 million sasa naona kuna namna anataka kuni dhurumu,

Maaana naona tu miendo naayoleta, sasa alini sajilia line natumia line yenye majina yake

Nikiangalie kwenye line naweza kopa million 1 na laki 2. Tunako elekea naona kama anataka kunitoa kazini, anisimamishe angali hela yangu bado hajalipa

Na hiyo line yeye hajui kama kuna uwezekano wa kupata 1.2 Million nataka siku anayonitoa kazini nikope huo mkopo. Naomba ushauri wadau maaans siku si nyingi nahis kazi nakatizwa bila kupewa hela yangu
 
Mimi kuna rafiki yangu nilikuwa namdai lak 6 nikaona ananipga chenga ila siku moja napita zangu napewa hela nimpelekee zilikuwa laki 8 mwisho wa siku alikutana na laki mbili tena hiyo laki mbili tuliimaliza kwa makonyagi na kiti moto mwisho wa siku kupgiwa kama nilimpa pesa zake akabaki kutumbua macho akiuliza unasemaje?
 
Namba ya siri unaijua?Kama unaijua wewe kopa kabisa maana YAMKINI NAYE NI MEMBER HUMU na anasoma hii thread yako.....ZINGATIA KUSEPA NA ILO SALIO KABLA MAMBO HAYAJAWA MENGI..
Naifaham kwa sababu ni line Nayotumia najua nikitoka tu ataenda kufuta usajili
 
Mliandikishana mkataba wa malipo ya mshahara wako?

Je unao wadhamini wa kazi yako nao wanajua utaratibu wa malipo mlivyokubaliana ?

Kama ndivyo basi fuata sheria kudai mshahara wako usikope kwenye laini isiyo yako ,kosa hilo litahesabika kuwa jinai vile vile .

Ikiwa vyote huna hapo juu tumia hekima kumuomba akulipe hela yako lakini usikope hela hiyo kwenye laini yake kwasbabu inakutia matatizoni ukizingatia hiyo hela ni ndogo mno ,wewe kufanya jambo lolote
 
Yaani mimi nilivyo na msimamo afu uwe karibu na mim uniombe huo ushauri i swear ungekutana na ngumi za kila rangi hadi unambie pin nikukopee ukutane na hela zako.
 
1. Dai haki yako.

2. Kutumia laini isiyo yako ni kosa kisheria. Achilia mbali kuikopea.

3. Ila kama unaweza Michezo ya kihuni unaweza kufanya
 
Habari wakuu, msaada wa mawazo kuhusu jambo linalo nisibu,

Mimi nimeajiliwa sehemu
Nimekaa kwa muda kias,
Boss wangu, katika Makubaliano, ni kufanya kaz, huku nikihesabu mshahara wangu
Hatimae mshahara umefikia 3 million sasa naona kuna namna anataka kuni dhurumu,

Maaana naona tu miendo naayoleta, sasa alini sajilia line natumia line yenye majina yake
Nikiangalie kwenye line naweza kopa million 1 na laki 2. Tunako elekea naona kama anataka kunitoa kazini, anisimamishe angali hela yangu bado hajalipa
Na hiyo line yeye hajui kama kuna uwezekano wa kupata 1.2 Million nataka siku anayonitoa kazini nikope huo mkopo. Naomba ushauri wadau maaans siku si nyingi nahis kazi nakatizwa bila kupewa hela yangu
It sounds too good to be true, it probably is.
 
Back
Top Bottom