TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,740
- 21,186
Twende moja kwa moja kwa mada.
Umemuomba mtu pesa ili ununue dawa kwa ajili ya mgonjwa uliyemuacha hospitali ukiwa njiani unasikia mlio wa meseji, unasogea pembeni kwa tashwishwi kuwa jamaa yako kakusapoti.
Au unadhania ni taarifa kutoka hospitali ulipomuacha mgonjwa kuwepo kwa mabadiriko mara unakutana na upuuzi, meseji ya ovyo kabisa ya TANGAZO, moyo unakata nguvu na kuanza kuikasirikia simu.
TCRA nyie ndiyo washika dau wakubwa, wakati huu mnapozima line za wasiosajiliwa na hawa muwazimie hizi kitu hazina faida kwangu.
Shame on them.
Umemuomba mtu pesa ili ununue dawa kwa ajili ya mgonjwa uliyemuacha hospitali ukiwa njiani unasikia mlio wa meseji, unasogea pembeni kwa tashwishwi kuwa jamaa yako kakusapoti.
Au unadhania ni taarifa kutoka hospitali ulipomuacha mgonjwa kuwepo kwa mabadiriko mara unakutana na upuuzi, meseji ya ovyo kabisa ya TANGAZO, moyo unakata nguvu na kuanza kuikasirikia simu.
TCRA nyie ndiyo washika dau wakubwa, wakati huu mnapozima line za wasiosajiliwa na hawa muwazimie hizi kitu hazina faida kwangu.
Shame on them.