Hilo ndio nenoKwa nn usichukue zile model mpya za 100k.
Nenda tu Kariakoo.
Kwa nn usichukue zile model mpya za 100k.
Nilimaanisha within that range... Hata hivyo bei lazima ishuke kidogo coz ina muda mrefu sokoni... Kipindi ndo inaingia ilikuwa 100k au zaidi.Zile mbona ni 90k
Hao wanaowauzia 100-120k wanawapiga
Model mpya sijazikubali sana hapana hiyo simu naipenda sana baada ya mwanzo kuzama nayo shambani ikapotea.nikiikosa nitachukua old model nyingine 1110 malufu yeboyebo
yani swala sio mpunga sihitaji kupata changamoto na haya matoleo mpya nayaona yanavyowatesa watu huko mpolini nokia 1280 or 1110 pigwa mvua ukipata nafasi unaifungu futa naji kazi inaendelea mfano hizi nokia 105 zina kaugonjwa wa ku stack on logo mpaka ukflash sasa mambo gani hayoNunua t-smart kutoka tigo 46,500 nzuri pia
Mkuu simu ndogo sihitaji iwe na kamera wala kioo cha rangi
unapo sema nokia-0 ngapi maana ziko nyingi!ila hilo toleo simu zake zinazo kaa na chaji ni nokia c1-02 ila kama una x2-02 nakupa mpunga kesho mapema hiyo simu pamoja kua na kioo cha rangi na kamera iko vizuri ktk battery hapa nazungumzia simu sio midoliAtakayehitaji
Nokia E63, Asha 302 na C1 zipoo...
NOTE: Bei zake zimechangamka kiasi....
Sent using Jamii Forums mobile app