mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Toka kipindi cha kwanza hadi mpira unaisha naona comment nyingi zikiwa zinaelekeza lawama kwa wachezaji
Mzamiru Yasin na John Bocco
Napenda kuuliza hivi ni nini kosa lao?Maana huwa wanajituma lakini wengi wa mashabiki huwa hawataki kuwasikia.
Maoni yangu kwa mechi ya Leo alietua ni refa.
Japo wachezaji Rally Bwalya na kondeboy hawakuwa kwenye peak hasa first half
Pia kocha aone umuhimu wa kuanza na two natural winger maana angeanza Dilunga au kahata tunge tengeneza nafasi zaidi
Mzamiru Yasin na John Bocco
Napenda kuuliza hivi ni nini kosa lao?Maana huwa wanajituma lakini wengi wa mashabiki huwa hawataki kuwasikia.
Maoni yangu kwa mechi ya Leo alietua ni refa.
Japo wachezaji Rally Bwalya na kondeboy hawakuwa kwenye peak hasa first half
Pia kocha aone umuhimu wa kuanza na two natural winger maana angeanza Dilunga au kahata tunge tengeneza nafasi zaidi