Simba Sc Next Level wazindua uzi matata kabisa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,776
102,136
126194401_1774709696021371_1225916573065979748_o.jpg
126243677_1774709782688029_4854383045036459749_o.jpg
20201118_182115178506.jpg


Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
 
Wabunifu ni SIFURI KABISA

Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?

Na wewe unawaza sifuri square!
Kwani hiyo timu nyingine itakuwa inajezi zote za rangi aina moja? Halafu kwani hizo jezi za simba zote ni nyekundu purely?
Lakini vile vile utambue hadi wakatambulisha tayari CAF ilishawapa baraka zote kwa kuona kuwa hazina changamoto ya rangi!
Yaani utopolo sijui mkoje lakini!
 
Na wewe unawaza sifuri square!
Kwani hiyo timu nyingine itakuwa inajezi zote za rangi aina moja? Halafu kwani hizo jezi za simba zote ni nyekundu purely?
Lakini vile vile utambue hadi wakatambulisha tayari CAF ilishawapa baraka zote kwa kuona kuwa hazina changamoto ya rangi!
Yaani utopolo sijui mkoje lakini!
Acha kukariri kila anayekosoa ni wa upande wa pili wa timu pinzani, CAF kwenye inahusikaje?

Hiyo jezi nyeupe yenye rangi nyekundu mbele hawawezi cheza na timu kama Al Ahly inayotumia jezi nuekundu
 
Achana nao hawa, wana hasira kwakuwa watakuwa wanatuona kwenye tv
Na wewe unawaza sifuri square!
Kwani hiyo timu nyingine itakuwa inajezi zote za rangi aina moja? Halafu kwani hizo jezi za simba zote ni nyekundu purely?
Lakini vile vile utambue hadi wakatambulisha tayari CAF ilishawapa baraka zote kwa kuona kuwa hazina changamoto ya rangi!
Yaani utopolo sijui mkoje lakini!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom