OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,776
- 102,136
Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watavaa zile walizozindua mwanzoWabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
Wabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
vitambaa kutoka Mombasa.View attachment 1629362View attachment 1629364View attachment 1629365
Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
Acha kukariri kila anayekosoa ni wa upande wa pili wa timu pinzani, CAF kwenye inahusikaje?Na wewe unawaza sifuri square!
Kwani hiyo timu nyingine itakuwa inajezi zote za rangi aina moja? Halafu kwani hizo jezi za simba zote ni nyekundu purely?
Lakini vile vile utambue hadi wakatambulisha tayari CAF ilishawapa baraka zote kwa kuona kuwa hazina changamoto ya rangi!
Yaani utopolo sijui mkoje lakini!
Wabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
Na wewe unawaza sifuri square!
Kwani hiyo timu nyingine itakuwa inajezi zote za rangi aina moja? Halafu kwani hizo jezi za simba zote ni nyekundu purely?
Lakini vile vile utambue hadi wakatambulisha tayari CAF ilishawapa baraka zote kwa kuona kuwa hazina changamoto ya rangi!
Yaani utopolo sijui mkoje lakini!
ndugu unatumia free mode?Wabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
Itawezekana kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu ndiyo swali lasingindugu unatumia free mode?
MWenyewe huna kwaliti akilini utaonaje kwaliti ya jezi ya mnyama.Tunawakeraaaaaa.uto km uto bhana mafuriko yamewashinda wanehamia.Hata kwenye picha jezi inaonekan ina quality ndogo sana
Kwaliti?MWenyewe huna kwaliti akilini utaonaje kwaliti ya jezi ya mnyama.Tunawakeraaaaaa.uto km uto bhana mafuriko yamewashinda wanehamia.