Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
Ligi kuu Soka Tanzania Bara imeendelea kutimua vumbi hii leo katika Dimba la Uhuru Jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha Simba dhidi ya Kagera Sugar
Simba imeondoka na ushindi mnono wa Bao 2-0 ,ambapo magoli hayo yamefungwa na J.Bocco kwa mkwaju wa penati katika Dakika ya 42, na goli la pili kufungwa na S. Ndemla (45+3)’
Huu ni mchezo kabla ya mchezo wa watani wa Jadi ambao huwakutanisha Simba na Yanga, utakaochezwa siku ya Jumamosi ya tarehe 7 katika Dimba la “Mkapa Stadium”