Naandika kabla ya mechi ya fainali,
Wana kocha bora kabisa ADIL RAMZ ambaye amewahi kuwa kocha msaidizi AJAX ya amsterdam,
Wana mawinga viberenge wanakimbia kwa kukata upepo, mabeki hatari, washambuliaji hatari mpaka kipa ni wa viwango vya SGR.
Wanaweza kucheza mpira wa chini na wajuu, tena...