Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
1. Anayeongoza kundi la Simba ana point 7 iliSimba amfikie anahitaji mechi mbali wakati anayeongoza kundi la Yanga ana point 5 the Kumfikia ni mechi Moja tu
2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.
3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa
4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa
5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba
6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023
Hebu malizieni zingine nne
2.Simba ana mechi na Wydad wakati Yanga ana mechi na Medeama Kwa Mkapa. Wydad. Mgumu kuliko Medeama.
3.Simba ana mechi Ghana ambako Wydad alipasuka Yanga ana mechi na CRB ambao hapa hapa Kwa Mkapa
4. Mashabiki wa Yanga Bado Wana Imani na timu Yao relatively wanajaa Kwa Mkapa
5. Yanga Wana relatively timu nzuri kuliko Simba
6 Tangu msimu uanze Yanga ameshinda mechi kadhaa za kimataifa ikiwemo ya Al merreikh Simba hajashinda mechi yoyote Ile ya kimataifa msimu huu. 2023
Hebu malizieni zingine nne