FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
1702069001026.png

Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.

Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?

Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo.

1702147386929.png

Kikosi cha Simba kilichoanza

1702147507210.png

Kikosi cha Wydad kinachoanza
GA7jg7yXAAApzah.jpeg

Kipa wa Simba, Ayoub akipangua penati
GA7yN1DWUAA5uzW.jpeg
 
😁😁😁😁😁 yanakuja kuweka kambi hapa

Anyway naona mafuta ndo yanaenda kujitenga na mataptap

Viva simba

Kesho dj nanii naomba chapa ngoma ya zuchu😁😁😁
 
Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.

Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?

Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo
Waidad 3-0 Simba. Mo ajitayarishe kufukuza tena
 
Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.

Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?

Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo
Simba sio mbumbumbu, take it from Me.
 
Kila lenye kheri kwako mnyama mkali simba. Tanzania inakutegemea simba ikishinda Tanzania imeshinda hima kwenu utopolo tukutane vibanda umiza kujifunza soka la namna ya kutinga robo fainali bila pira kimbia kimbia pira papara papara
 
Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.

Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?

Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo
Leo mnyama anaunguruma kama kawaida. Kama Wydad walikubali kichapo kutoka kwa Galaxy, Simba hatushindwi. Tunamnyoosha mwarabu huko huko kwao ili liwe fundisho kwa Yanga.
 
Back
Top Bottom