Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?
Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo.
Kikosi cha Simba kilichoanza
Kikosi cha Wydad kinachoanza
Kipa wa Simba, Ayoub akipangua penati