Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa.
Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia
Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua
Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe.
Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia
Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua
Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe.
Al Ahly complain to CAF about Sundowns' 'tricks' – report | KickOff
Al Ahly are reportedly unhappy with the "tricks" they believe Mamelodi Sundowns are utilising ahead of their titanic African Football League semi-final clash this weekend.
www.snl24.com