siku

Siku (Quechua: antara, Aymara: siku, also "sicu," "sicus," "zampolla" or Spanish zampoña) is a traditional Andean panpipe. This instrument is the main instrument used in a musical genre known as sikuri. It is traditionally found all across the Andes but is more typically associated with music from the Kollasuyo, or Aymara speaking regions around Lake Titicaca. Historically because of the complicated mountain geography of the region, and due to other factors, in some regions each community would develop its own type of siku, with its own special tuning, shape and size. Additionally each community developed its own style of playing. Today the siku has been standardized to fit in with modern western forms of music and has been transported from its traditional roots.

View More On Wikipedia.org
  1. Nimegundua kuwa siku za wiki JF huchangamka sana, tofauti na weekend.

    Nini huwa inaxababixha hii kitu? Ni kuwa wabongo wanatumia internet ya makazini kwao au wabongo ni wavivu wa kazi? Weekend ukipita humu unakuta kimya kabixa, m2 mmoja mmoja. Ikifika jumata2 nyuzi zinachangamka balaa. Nyuzi mpya kila dakika.
  2. S

    Ile ndege aina ya Bombardier mbona haiwasili kama tulivyoahidiwa kuwa itawasili mwezi huu wa Desemba?

    Habari hii nakumbuka ilitolewa na hata JamiiForums twitter waliripoti hii habari ila mpaka leo December 27 mbona kimya? Je,walitawahi tangaza kuahirisha? Na hizi zilizopo, maendeleo yake yakoje? Mwenye majibu tafadhali.
  3. Kinatokea nini kwa watoto wako siku unafariki? moja ya ushuhuda

    The death of the loved one can have enormous impacts on well-functioning adult and it can become even more severe, more pronounced in the adolescents, for the teenager dealing with the loss of the loved one is an extremely challenging task. When the adolescent goes through the loss of the...
  4. K

    Siku 60 baada ya Uchaguzi: Ni wabunge wachache waliofanya cha maana jimboni, wengi wapo Dar

    Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi. Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo. Huku majimboni pia kwa kuwa...
  5. Ipo siku Watanzania tutaandamana kudai mfumo wa vyama vingi ufutwe

    Hatuoni umuhimu wa mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania. Ni matapeli wa kisiasa tu ambao wapo kwa ajili ya kupiga madili na kujaza vitambi. Watanzania ipo siku tutaandamana na kudai demokrasia ya chama kimoja ambayo huko nyuma ilitunufaisha. Wakati wa chama kimoja, tulisoma bure msingi hadi...
  6. B

    Ujumbe wa viongozi wa dini siku ya Chrismass!

    Walezi wetu kiroho wametueleza nn leo makanisani? Huku Kagera mafundisho yamejikita kwenye Mambo makuu manne; 1. Tuombe toba kwa Taifa letu 2. Tusameane 3. Tujifunze kuwasikiliza walio na mawazo tofauti na sisi 4. Tumuenzi kristo kwa kupendana ..huko ulipo Mambo ya rohoni yaliendeshwa...
  7. R

    Kuna watu tukisema twende kanisani kila siku Mungu atashusha gharika

    Habari za Chrismas wana JamiiForums leo nadhani ni hamsha hamsha kila sehemu nami nikaona isiwe tabu ngoja nianzie church KKKT UKONGA Wakati naingia jua lilikuwa kali na km Unavyojua sisi wengine hatuendag church nahis leo hata shetan alishangaa maana laiti wangejua mambo ninayofanya na...
  8. Nina wazo zuri la kipindi cha Televisheni ambacho naamini kitakuwa na watazamaji wengi siku moja kwa wiki. Je, nifanyeje kuuza hii idea?

    Leo wakati nawaza kuhusu vipindi kadhaa vya television Tz nikajikuta napata aidia ya kipindi kizuri sana ambacho naamini kikisimamiwa vizuri basi channel husika itatazamwa sana. Lakini nataka hili wazo niliuze kwa mmiliki wa TV, channel au media yoyote ambayo inarusha Maudhui kwa Kiswahili...
  9. Wadada wengi siku 'wanatingisha' makusudi wakitembea mjini

    Tunateseka sana wanaume unakuta mdada anatembea harakaharaka huku anakatika makusudi kabisa hii sio sawa. Tembeeni kwa wastani msinyumbulike sana, yani kule sio kutembea ni kukatika kiuno makusudi. Kama hamuamini wakulungwa kaeni kwenye malls au restaurants zilizopo pembeni ya barabara...
  10. Watawala wa Tanzania, labda siku moja mtapenda mpewe haki ya kusikilizwa Mahakamani pia!

    Walioweka mfumo wa Mihimili 3 yaani Serikali, Mahakama na Bunge hawakuwa wajinga, walijua wanafanya nini na walikuwa na nguvu za Umungu lkn bado waliona umuhimu wa kuwa na Mahakama na Sheria kwamba kila Binadamu ana haki ya kusikilizwa na ndo maana hata wauwaji wanafikishwa Mahakamani na...
  11. ULIMWENGU NDIO MAMA: Wadogo zangu someni sana. Zinakuja siku huko mbeleni wazazi watakuwa wamelala usingizi wa milele na umebaki wewe na walimwengu

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums. Ninapenda kuchukua wasaa huu kutuma salaam zangu za pole sana kwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe (DC) Madam Jokate Mwegelo kwa msiba mzito uliomfika wa baba yake mazazi mzee Urban Costa Ndunguru. Mungu azidi kumtia nguvu na faraja...
  12. Dkt. Philip Mpango maneno uliyotamka siku unaapishwa yalitoka ndani ya moyo wako? Ulikuwa unawakebehi Watanzania?

    Wahenga wanasema tembea uone. Ndio maana hata mzee Mwinamila alipokuwa hai aliwahi kutunga wimbo akimwambia Mwl Julius Nyerere atembee aone ili ajionee kwa macho yake nchi anayoitawala na watu wake wanaishi kwa namna gani. Nimepafanya kijiziara kidogo suo moto, maana sijapangiwa na mtu. Ila...
  13. U

    Hii Hali ya Umeme kutouwepo siku nzima maeneo mbalimbali ya nchi, tatizo nini

    Umeme kwa huu mwezi unakatika Sana siku nzima, ukiuliza emergency wanajibu matengenezo, nimetembea mikoa Saba mwezi huu shida Ni hiyo hiyo, huku wengine wanasema mitambo imechakaa , huku wengine wanasema stigler, wengine wanasema mgao wa kimya kimya, embu serikali itoe kauli Kama Kuna mgao...
  14. Tunduma: Ally Mwafongo na wenzake 57 watimiza siku 143 Gerezani

    Aliyekuwa Meya wa Tunduma kupitia Chadema Mh. Ally Mwafongo alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za kutengenezwa kiwandani za mauaji kabla ya uchaguzi na kuwekwa selo yeye na viongozi wengine lundo wa Chadema , lengo la unyama huo lilikuwa kumzuia kugombea tena udiwani ili kuirahisishia ccm ushindi ...
  15. Mnaosema siku hizi hakuna kutongoza huwa mnatumia njia gani?

    UTANGULIZI Najua kuna mtu atakuja hapa kusema kuwa "Asubuhi yote hii nawaza mapenzi? Kwani hili jukwaa limewekewa muda maalum? Wee piga kazi tuache sisi tujadili mapenzi. Ukisha kuwa huru sasa njoo uchangie. OKEY, TWENDE MADANI Ndugu msomaji, rejea kichwa cha habari hapo juu Baadhi ya...
  16. Hivi ni kwanini akina mama wengi siku hizi kunyonyesha imekuwa kama adhabu hususani mtoto anapofikisha umri wa mwaka mmoja?

    Naomba mnisaidie mawazo zaidi Kwani inafahamika kiafya mtoto inabidi anyonye mpaka miaka miwili kwa afya njema kiakili sasa imekuwa tofauti kwa Sasa kwani wengi wameshindwa kufikisha muda huo. Na wale wanaofikisha wanakuwa Kama kwenye adhabu ati mtoto anaponyonya maziwa hayatoki vizuri au...
  17. Waziri Mkuu Majaliwa: Walionunua magari ya kifahari kwa fedha za walipakodi nawapa siku 7 za kujieleza

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku saba kuanzia leo (Alhamisi, Desemba 17, 2020) kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi wa magari Ofisi ya Waziri Mkuu na wakurugenzi wa Jiji la Mwanza, Halmashauri ya wilaya ya Chato, Msalala na Kahama wajieleze kwa...
  18. Gazeti la Daily News ni kichefuchefu. Kila siku front page ni JPM ......

    Haya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema. Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo. Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too...
  19. Siku ya tano leo wife kaninunia kisa nilimchana ukweli kuwa hajapendeza

    Habari za leo watanganyika wenzangu? Jumamosi iliyopita tulikuwa na mwaliko wa harusi,sasa basi my wife akaniambia nikimaliza mizunguko yangu nimpitie ofisini kwake ili twende wote home tukajiandae, well me kwenye saa 10 hivi jioni nikawa nimemaliza mizunguko yangu, nikasema ngoja nimpitie wife...
  20. Katibu Mkuu Wizara ya Afya ametoa siku 14 kwa wamiliki wa vituo vya mchana vya malezi ya watoto (Day Care) kurekebisha kasoro kabla havijafungiwa

    Serikali imetoa siku 14 kwa wamiliki wa vituo vya malezi vya watoto na (Day Care), kurekebisha kasoro ili watoto hao walelewe katika mazingira sahihi na kwa kujibu wa Sheria. Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii), Dk. John...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…