Siku 60 baada ya Uchaguzi: Ni wabunge wachache waliofanya cha maana jimboni, wengi wapo Dar

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi.

Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo.

Huku majimboni pia kwa kuwa kampeni zao hazikuwa serious wananchi atutambui hata walituahidi nini maana wengi awakupata hata huo muda wakutoa ahadi.

Dkt. Bashiru wafukuze wabunge huko mjini waje wafanye kazi walizoomba, ukitupuuza wananchi atutakuwa na chakukufanya ila tutakuwa na chakuwafanya kama tulivyowafanya uchaguzi uliopita. Mlitudharau kwa miaka mitano, mlipokuja kuomba kura tukawakataa adharani hadi mkatumia nguvu ya dola kupata uteuzi badala yakuchaguliwa.

Jifunzeni kuheshimu walio wengi wenye shida kuliko kuwakumbatia wachache walioshiba.
 
Nileteeni Gwajima.

Nileteeni Gwajima.....

Nileteeni Gwajima .......

JIWE.
Yawezekana hata Mzee Baba hafahamu kwamba Wabunge huwa wanatakiwa kuwawakilisha Wananchi na siyo Mali au wawakilishi wa Rais.Anapowalazimisha Wananchi wakupe mtu Fulani ampendae yeye inapoteza maana ya uwakilishi.

Uzuri Katiba imempa nafasi zakuteua wabunge 10 ambao anaweza kusema namtaka huyu Ama yule miongoni mwa Watanzania milioni 60 bila kuhojiwa na yeyote,lakini kwa wabunge wa majimbo ni jukumu la wapiga kura kuamua wamtakaye.Rais hastahili kuwachagulia Wananchi wawakilishi wao.
 
Kila mbunge maeishapokea sh million 40kama mshara na posho kwa mwiezi miwili wakati mawaziri na manaibu wake wamepokes million 60 kwa miezi miwili kila moja.Kwa hiyo hawana haja ya mwananchi tena.
 
Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi..

Du mkuu embu nikumbushe mwaka 47. Wale wabunge wa chama chetu pendwa walipotoka bungeni kiss corona walionekana wapi vile. ? Puleeez.
 
Aaa umewasingizia mkuu. Nadhani hakuna kipindi ambapo wabunge watakaa majimboni kama hiki.

Siye wetu kila siku tupo naye hadi kwenye vijiwe vya kahawa.

Wanapiga kazi tu... Acha kazi iendelee.
 
Huu ubunge wa 2020 umetolewa kwa hisani ya Jiwe, midhali yuko madarakani hakuna wa kuwa visa.
 
Siku 60 baada ya uchaguzi mkuu hakuna Mbunge aliyeonekana kutambua kwamba uchaguzi ulishamalizika na Sasa ni muda wakutimiza ahadi walizoahidi.

Wabunge wengi wamehamishia makazi yao Dar huku wakipanda mwewe kuelekea Dodoma pale inapolazimika kiratiba kufanya hivyo.

Huku majimboni pia kwa kuwa kampeni zao hazikuwa serious wananchi atutambui hata walituahidi nini maana wengi awakupata hata huo muda wakutoa ahadi.

Dr. Bashiru wafukuze wabunge huko mjini waje wafanye kazi walizoomba, ukitupuuza wananchi atutakuwa na chakukufanya ila tutakuwa na chakuwafanya kama tulivyowafanya uchaguzi uliopita. Mlitudharau kwa miaka mitano, mlipokuja kuomba kura tukawakataa adharani hadi mkatumia nguvu ya dola kupata uteuzi badala yakuchaguliwa.

Jifunzeni kuheshimu walio wengi wenye shida kuliko kuwakumbatia wachache walioshiba.
Waache waishi Dar. Hatukuwachagua. Ccm walifanya uchafuzi nchi nzima. Waishi Lumumba miaka 5 na kusugua miguu baharini magogoni yote sawa. Watanzania tunajua kwa miaka hii 5 hatuna wabunge.
 
Back
Top Bottom