Naona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu.
Abeid Amani Karume-Rais wa Kwanza Zanzibar
Aman Abeid Karume- Rais Mstaafu Zanzibar
Ali Hassan Mwinyi -Rais Mstaafu Zanzibar na Tanzania
Hussein Mwinyi -Mgombea urais 2020
Ali Karume -Mgombea urais 2020
Hii yote ni himaya ya CCM, ndugu Watanzania...