serikali

  1. Erythrocyte

    Serikali kuanza kuwatambua wateja wa ATCL kwa lengo la kuwapatia huduma za ziada

    Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr Leonard Chamuriho wakati wa Sherehe ya Mapokezi ya ndege mpya Jijini Dar es salaam . Bado haijafahamika huduma za ziada zitakazotolewa nje ya zile zinazofahamika kwenye ndege zitakuwa huduma gani na zenye lengo gani .
  2. M

    Serikali ifuate ushauri wa CHADEMA

    Kwa kuwa wapinzani wengi hasa CHADEMA wanashauri maendeleo si ya vitu ila yanatakiwa yawe ya watu, napendekeza serikali ifute ruzuku kwa vyama vya siasa ili pesa yote inayotolewa kwa ajili ya ruzuku itumike katika maendeleo ya watu vijijini, tofauti na ilivyo sasa pesa za ruzuku zinatumika...
  3. Elius W Ndabila

    Ni kweli tuidai Serikali maji, au tudai sheria ya kuhifadhi vyanzo vya maji?

    Bunge litunge sheria kali ya kutunza mazingira. Baada ya sheria kali ya money laundering ambayo haina dhamana, basi ninatamani Bunge lije na sheria kali ya mazingira. Ninadhani bado sheria ya mazingira tuliyonayo haijakidhi haja au imeshindwa kusimamiwa. Udhaifu wa usimamizi au ubutu wa sheria...
  4. S

    Hii ni moja ya sababu kwanini wakati mwingine wakosoaji wa serikali hii wanaaminika kuliko viongozi wa serikali

    Walitangaza wenyewe. Hata press release waliandika wenyewe. Kwenye akaunti ya Twitter ya ATCL waliandika wenyewe. Sasa wameiondoa, na waziri anatafuta "mchawi" nje yao. Kuna kitu wanaficha. Kitafichuka tu!
  5. J

    IGP Sirro awaonya watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020

    Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020. Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza. IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza...
  6. Ileje

    Wafanyakazi wa serikali Kenya kulazimika kuvaa nguo zilizotengenezwa Kenya kila ijumaa

    Ili kuinua uchumi na kukuza viwanda vya nguo vya Kenya serikali imeamuru wafanyakazi wote wa serikali na umma kuvaa nguo zilizotengenezwa Kenya kutokana na pamba iliyolimwa nchini humo kila ijumaa na siku za sikukuu. Kwa kufanya hivyo inategemewa kilimo cha pamba kukuzwa na pia kuvipatia soko...
  7. M

    Kwanini Serikali imesamehe Shilingi Trilioni 424?

    Ndugu zangu Kwa mujibu wa uchunguzi na utafiti ulioendeshwa na wataalamu wetu profesa Mruma na Profesa Osoro ilibainika wazi kabisa kuwa Watanzania tulikuwa tukiibiwa na kampuni ya ACACIA katika madini yetu hususan kupitia mchanga wa makinikia. Kwa mujibu wa Utafiti huo ilibainishwa kuwa pamoja...
  8. GENTAMYCINE

    Je, Serikali kupitia Wizara ya Afya na TBS wana taarifa kuhusu tangazo la ‘kitapeli‘ la Dawa ya Kumfanya Mtu aachane na Ulevi?

    Tangazo hilo linachezwa sana Wasafi fm (sijajua kwa Vituo vingine vya habari). Tangazo hilo linalosema kwamba hii dawa ya Hans Maks (naomba radhi kama nimeiandika vibaya) ukimpa tu Mtu Mlevi wa pombe ambaye ameshindakana kwa kila namna hasa ile ya ‘kimaombi‘ basi ukimpa hii Dawa ndani ya dakika...
  9. Mukulu wa Bakulu

    Serikali iliahidi reli ya SGR Dar-Morogoro itaanza Novemba 2019, hadi sasa hakuna kitu

    Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%. Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza...
  10. Chamoto

    Serikali ondoeni Mabango katikati ya Barabara

    Mabango katikati ya barabara ni hatari Usalama barabarani ni jambo kubwa na la msingi katika maendeleo ya nchi yetu. Moja ya vitu ambavyo vinaweza kuleta ajali barabarani ni vizingiti vinavyo mfanya dereva ashindwe kuona vizuri mbele. Katika kipindi cha miaka ya nyuma, kumekuwa na ongezeko...
  11. C

    Wenyeviti wa Serikali za mitaa, vijiji, vitongoji muda wenu umekwisha, Je adui yenu ni CCM au Serikali?

    Na Boniface Jacob Senior councillor Jana tarehe 22 October 2019 Wenyeviti wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji pamoja na Wajumbe wao Wamemaliza Muda wao wa Miaka 5 Tangu wachaguliwe Mwaka 2014 Muda kama huu kwa Mujibu wa Sheria namba 8 na 9 za mwaka 1982 (Sura 288) Kiutendaji jana ndiyo...
  12. ChoiceVariable

    Ushauri kwa Serikali kuhusu TARURA na Wizara ya Ujenzi

    Habari ndugu wana jukwaa, Napenda kutoa ushauri kwa serikali iangalie uwezekano wa kuihamishia Tarura chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi kutoka Tamisemi na kuondoa mambo ya mawasiliano kutoka wizara ya ujenzi kupeleka wizara ya habari Ili kuleta ufanisi masuala ya barabara yawe chini ya...
  13. Miss Zomboko

    Kampuni ya IPTL haijawatambua SCBHK kama wadai wake na inahoji mahakamani uhalali wa madai yao

    KAMPUNI ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited (SCBHK), si wadai wake na ibatilishe tuzo mbalimbali, ambazo ilipewa huko Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo. Kwa...
  14. Pascal Mayalla

    "Kati ya Wasifiaji wa Rais Wakiwemo Machawa na Wakosoaji wa Rais, Watu Critical, Nani Wanamsaidia zaidi Rais, Serikali Yake?

    Wanabodi, Hii ni thread ya Swali, Kati ya wakosoaji wa Rais na serikali yake, yaani wale ma Critics na wasifiaji, wakiwemo praise singers na machawa, nani wanamsaidia zaidi Rais na serikali yake?. Kwa ukosoaji unaofanyika humu JF, Je sisi JF, tunamsaidia Rais na serikali yake au...
  15. winnerian

    Ni kweli baada ya kifo cha baba (mume) kwa asilimia kubwa sana mke, watoto na wazazi wanaingia kwenye mgogoro mkubwa sana

    Suala la mirathi na urithi kwa ujumla linaleta chuki sehemu ambapo upendo ulitawala kwa sababu hakuna utaratibu ambao upo wazi wa kufuata juu ya suala la mirathi. Ni maoni yangu serikali iliwekee sheria na kanuni namna ya kuwawezesha wafiwa kuendelea na maisha mema hata baada ya mpendwa wao...
  16. Bess

    Dunia kuwa na Serikali moja?

    Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika. Ni pale UN itakapokuwa na jeshi lake, lenye kupokea order kutoka baraza moja la kijeshi ujue dakika za kutawaliwa...
  17. Mukulu wa Bakulu

    Serikali ipige marufuku vipindi vya michezo asubuhi redioni

    Serikali ipige marufuku vipindi vya michezo redioni asubuhi. Haiwezekani asubuhi muda wa kazi ndio watu waaanza kuchambua michezo toka saa 2 asubuhi hadi saa 5, watu watafanya kazi saa ngapi? Muda wa kufanya shughuli za uzalishaji ndio watu wanasikilizisha watu vipindi visivyo na kichwa wala...
  18. Return Of Undertaker

    Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    WATANZANIA SIO WAJINGA KIASI HIKI Leo vyombo vya habari vimeripoti kwamba Computer za ofisi ya DPP tena zenye nyaraka za kumbukumbu za waliolipa fedha za uhujumu uchumi na nyaraka nyingine zikiwemo za mienendo ya mashtaka ya kesi za uhujumu zimeibwa. Huu ni zaidi ya ukoo wa panya. Huwezi...
  19. YEHODAYA

    Wagombea Serikali za mitaa CHADEMA na ACT Wazalendo wanapatikanaje? Mbona sioni kura za maoni zikifanyika?

    CHADEMA na ACt Wazalendo wagombea Serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni kama CCM walivyofanya jana jumapili nchi nzima?
Back
Top Bottom