Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 512
- 638
Tukijilinganisha sisi na wakenya ktk maeneo mengi tunakuta wakenya wametutangulia kwa kuonyesha dhamira njema katika kila jambo.
Mathalan tukilinganisha katiba ya Kenya na ya Tanzania utagundua dhamira njema iliopo katik katiba ya Kenya katika kuwaunganisha raia wake. Huku ya ya Tanzania yaonyesha unyonge na udhaifu mkubwa. Na ukifanyia tafiti kuangalia uhalisia tutaona kama vile wale tuliowapa mamlaka hawako tayari hata kulijadili mapungufu haya kupitia sheria mama, zaidi ya maneno matupu jukwaani.
Hali hizi ndizo zilizokatisha tamaa watz wengi hata kupoteza mwamko wa kupiga kura. Tunahitaji chama kitachoweza kurudisha ari ya wapiga kura kwa kuonyesha nia ya dhati ya kubadili aina hizi za ubaguzi na unyanyapaa.
Vipengele vinavyoelezea kuwaunganisha watanzania kwenye katiba ya Tz vilivyotajwa havizidi 5 ukilinganisha na ya Kenya vimetajwa zaidi ya Mara 18.
Tujiulize:
Kwanini ktk awamu zote zilizopita hakuna teuzi zilizotokea ambapo watz wenye asili ya Asia, Arabuni kuliteuliwa ktk nafasi za wafanya maamuzi?
Tujiulize Tena kwanini baadhi ya Watanzani wasiofata ustaarabu wa kizungu mfano; ktk majina, dini wahazidi 8% ktk teuzi.
Jibu rahisi kwa mtz wa kawaida ni kuwa katiba yetu haijatoa nafasi ya kuwaunganisha watz bila kujali rangi, dini,, kabila, jinsia nk.
Tunahitaji chama mbadala zaidi ya kuleta ngonjera za kila wakati wa uchaguzi kujinadi kujenga barabara, mahospitali nk, Bali chama kitakachorudi chini zaidi na kuangalia misingi ya kibaguzi na kuweka misingi imara ya kuwaunganisha.
Nimelizie kwa kuweka mifano iliopo ndani ya katiba ya Kenya ineyoonyesha dhamira njema ya kuwaunganisha wakenya. Kama vile.
1. Nafasi za wafanya maamuzi (executives) ni lazima ziwe jumuishi wenye uwiano kwa matabaka Pasi na ubaguzi wa aina yoyote au fadhila ya rais kumteua amtakae.
2. Nafasi za majeshi yote ni lazima wawe jumuishi kwenye uwiano wa matabaka yote nk
Kwa haya naanini kwa dhati ya moyo kuwa CCM ilishindwa, imeshindwa na haitoweza kubadili matakwa haya ya kikatiba. Kwani kwa mpiga kura kutopiga kura kwao ni fursa.
Mathalan tukilinganisha katiba ya Kenya na ya Tanzania utagundua dhamira njema iliopo katik katiba ya Kenya katika kuwaunganisha raia wake. Huku ya ya Tanzania yaonyesha unyonge na udhaifu mkubwa. Na ukifanyia tafiti kuangalia uhalisia tutaona kama vile wale tuliowapa mamlaka hawako tayari hata kulijadili mapungufu haya kupitia sheria mama, zaidi ya maneno matupu jukwaani.
Hali hizi ndizo zilizokatisha tamaa watz wengi hata kupoteza mwamko wa kupiga kura. Tunahitaji chama kitachoweza kurudisha ari ya wapiga kura kwa kuonyesha nia ya dhati ya kubadili aina hizi za ubaguzi na unyanyapaa.
Vipengele vinavyoelezea kuwaunganisha watanzania kwenye katiba ya Tz vilivyotajwa havizidi 5 ukilinganisha na ya Kenya vimetajwa zaidi ya Mara 18.
Tujiulize:
Kwanini ktk awamu zote zilizopita hakuna teuzi zilizotokea ambapo watz wenye asili ya Asia, Arabuni kuliteuliwa ktk nafasi za wafanya maamuzi?
Tujiulize Tena kwanini baadhi ya Watanzani wasiofata ustaarabu wa kizungu mfano; ktk majina, dini wahazidi 8% ktk teuzi.
Jibu rahisi kwa mtz wa kawaida ni kuwa katiba yetu haijatoa nafasi ya kuwaunganisha watz bila kujali rangi, dini,, kabila, jinsia nk.
Tunahitaji chama mbadala zaidi ya kuleta ngonjera za kila wakati wa uchaguzi kujinadi kujenga barabara, mahospitali nk, Bali chama kitakachorudi chini zaidi na kuangalia misingi ya kibaguzi na kuweka misingi imara ya kuwaunganisha.
Nimelizie kwa kuweka mifano iliopo ndani ya katiba ya Kenya ineyoonyesha dhamira njema ya kuwaunganisha wakenya. Kama vile.
1. Nafasi za wafanya maamuzi (executives) ni lazima ziwe jumuishi wenye uwiano kwa matabaka Pasi na ubaguzi wa aina yoyote au fadhila ya rais kumteua amtakae.
2. Nafasi za majeshi yote ni lazima wawe jumuishi kwenye uwiano wa matabaka yote nk
Kwa haya naanini kwa dhati ya moyo kuwa CCM ilishindwa, imeshindwa na haitoweza kubadili matakwa haya ya kikatiba. Kwani kwa mpiga kura kutopiga kura kwao ni fursa.