Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,662
- 10,118
Hili eneo linaonekana kuwa nyuma kimaendeleo ndio maana nauliza hili swali.
Ilipotengenezwa barabara ya lami toka Jetcorner mpaka Davis corner kidogo yalikuja mabadiliko.
Lakini naona kimaendeleo bado sana. Japokuwa kuna hospital mpya imejengwa lakini siridhiki na namna serikali inavyoiangalia Buza.
Umeme unakatika mara kwa mara na kuwa kero. Maji mtandao wa dawasa haujafika.
Mradi wa maji jetbuza ni kitendawili. Na Kitila Mkumbo alisema wameshalipa bil 100+ kwa miradi ya maji ikiwemo w Buza.
Mbunge wa Temeke anakaa Buza lakini hajawahi kufanya hata mkutano na wananchi.
Hivi ndio kusema Dar es Salam ni Kinondoni tu? Japokuwa hata kinondoni kuna maeneo sio mazuri kama Buza mfano Tandale.
Basi kamilisheni mradi wa Jet Buza wa maji ili na sisi tusifikiri mnatudharau. Mbunge wa Temeke upo hata hii ishu huulizii au umehamia masaki?
Ilipotengenezwa barabara ya lami toka Jetcorner mpaka Davis corner kidogo yalikuja mabadiliko.
Lakini naona kimaendeleo bado sana. Japokuwa kuna hospital mpya imejengwa lakini siridhiki na namna serikali inavyoiangalia Buza.
Umeme unakatika mara kwa mara na kuwa kero. Maji mtandao wa dawasa haujafika.
Mradi wa maji jetbuza ni kitendawili. Na Kitila Mkumbo alisema wameshalipa bil 100+ kwa miradi ya maji ikiwemo w Buza.
Mbunge wa Temeke anakaa Buza lakini hajawahi kufanya hata mkutano na wananchi.
Hivi ndio kusema Dar es Salam ni Kinondoni tu? Japokuwa hata kinondoni kuna maeneo sio mazuri kama Buza mfano Tandale.
Basi kamilisheni mradi wa Jet Buza wa maji ili na sisi tusifikiri mnatudharau. Mbunge wa Temeke upo hata hii ishu huulizii au umehamia masaki?