serikali

  1. D

    Balozi wa USA nchini amtaka Rais Magufuli achukue hatua zaidi ya kuwaachia Mbowe na wenzake

    Mbali na kuachiwa viongozi wa upinzani bado Marekani imetaka hatua za mapendekezo yake yote kuchukuliwa. Soma alichotoa Balozi wao nchini:
  2. S

    Si halali wala haki kwa Serikali ya CCM kuwatoza wananchi fedha ili kutumia Daraja la Nyerere kwenda Kigamboni, ni ubaguzi

    Nimetafakari sana juu ya hii Serikali ya CCM inayodai ipo kwa ajili ya wananchi, hasa wanyonge. Na hakuna mtu anakaebisha kwamba Kigamboni kuna hao wanyonge wengi tu. Sasa kwanini hawa wanyonge wa Kigamboni walazimishwe kutoa fedha kwa kutumia daraja la Nyerere kwenda Kigamboni? Tunajua kwamba...
  3. GE2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

    Balozi huyo ameandika: Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all...
  4. Serikali isiwazuie Lissu na Hamad kufanya Maandamano

    Mimi nadhani itakuwa ni busara kwa Serikali kuwaachia Lissu na Hamad kufanya maandamano yao, tena iwape ulinzi mzuri na thabiti kusudi maandamano hayo yasiharibu mali za watu wengine. Ikiwezekana maandamano yote yarekodiwe tangu mwanzo hadi mwisho; yakiisha bila kuingilia uhuru na haki za raia...
  5. Serikali na Polisi sasa waanze kujibu uzuri madai na tuhuma zinazorushwa mitandaoni na Vyombo vya Habari vya kimataifa

    Mitandao ya kijamii ni eneo pana na lenye kuweza kuwekwa picha mbambali za video iwe za miaka ya nyuma, miaka hii au hivi karibuni. Kwasababu la kiusalama inawezekana kabisa kuzuia mitandao isiwezeshe video za namna hii kutumika kueneza uchochezi na uvunjifu wa amani katika nchi yetu bila...
  6. K

    CCM na Serikali wasijidanganye kuwa wameshinda hii vita, uwanja wa mapambano tu ndio umebadilika

    Wenye kuridhishwa, kufurahia na kushangilia huu 'ushindi' wafanye hivyo. Ingawa sielewe kuna faida gani ya kushangilia huu 'ushindi' katikati ya uwanja uliojaa damu. Ila kitu pekee ambacho kinatakiwa kibaki kwenye fikra, mioyo na nafsi zao ni kuwa hii vita haijaisha bado. Kamwe wasijidanganye...
  7. GE2020 Tutafakari: Kwanini Serikali iliamua kugharimia Uchaguzi Mkuu badala ya kuomba UNDP kama ilivyozoeleka?

    Tangu tupate uhuru wa bendera kutoka kwa Ufalme wa Uingereza, Tanzania tumekuwa tukiomba msaada wa kugharimia Chaguzi Kuu zote kutoka nchi marafiki na jumuia za kimataifa. Lakini uchaguzi wa mwaka huu imekuwa tofauti kabisa Serikali iliamua kugharimia, kitendo ambacho haiingii akilini kuwa ni...
  8. Amani Karume aliijua nguvu ya karma, akatubu, akatafuta suluhu na Maalim Seif na Serikali ya Mseto Z'bar ikaundwa. Komandoo Salmini kulikoni?

    Uzi huu ni swali. Tuelimishane kwa tunaojua jibu la swali. Viongozi wakuu SMZ wanaomaliza muda wao mwaka huu 2020 na wapya waliotangazwa kushinda kwenye uchaguzi uliomalizika visiwani Zanzibar yawapasa warudi nyuma kidogo, watafakari kwa kina na kujifunza kutokana na historia ya chaguzi za...
  9. J

    GE2020 RC Chalamila: Mitandao ya kijamii kutoweka hewani hakuhusiani na uchaguzi, huwa inatokea wakati wowote

    RC Chalamila amesema kutoweka hewani kwa mitandao ya kijamii kusihusishwe na uchaguzi kwani ni kawaida mitandao hiyo kusumbua bila kujali matukio. Maendeleo hayana vyama!
  10. GE2020 Asante Serikali kwa maandalizi bora ya Uchaguzi 2020

    Hatimaye nimetumia Kitambulisho cha Utaifa kupiga kura. Hii ndio demokrasia na maendeleo ya kweli. Haki ya kuchagua na kuchaguliwa imeongezewa uwigo.
  11. Ushauri kwa upande wa Serikali, zimeni Mitandao ya Kijamii upande wa CHADEMA & ACT, wana CCM hawana makosa wao waendelee kuperuzi

    Serikali yetu ya Tanzania, nilikuwa nawashauri kuwa, hii mitandao yakijamii mliyozima kama inawezekana tuzimieni sisi tu waupinzani, maana ndugu zetu CCM wao hawana makosa, wanahitaji hii mitandao maana wao hawakupakua hata VPN, kwahio waoneeni huruma muwape access yamitandao lakini muwazuie...
  12. B

    Maneno ya faraja kwa viongozi waandamizi wa Serikali kuelekea Awamu mpya ya Taifa letu

    Unapoingia kwenye UCHAGUZI hasa katika nchi zinazoendelea kama ya kwetu upo uwezekano mkubwa baada ya matokeo viongozi walioshiriki kusimamia flani ashinde wakapoteza kazi baada ya kiongozi huyo kuingia madarakani. Katiba yetu imempa mamlaka Rais kuteua na kutengua mtu yeyote aliyepo chini yake...
  13. GE2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

    Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam, Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo. Tarehe 28/10/2020 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea tangu awamu ya tano iingie madarakani miaka mitano...
  14. Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto?

    Wakuu Salaam: Ni yapi mazingira ya Serikali ya Mseto? Nimeuliza makusudi tu nataka niyajue! Nimemaliza.
  15. B

    Viongozi walisimamia kuingia madarakani Serikali ya awamu ya Tano walitumbuliwa na baadhi kutiwa ndani

    Kwa umri wetu tunaona mengi, kiongozi anapofanya kampeni usaidiwa na watu mbalimbali na wengi uwalipa fadhila ya ajira. Ntatoa mfano, Yule kijana Nassary wa Arusha ameahidiwa ajira, ili apate hiyo ajira lazima Kuna mtu atapoteza ajira. Hi ni ishara ya namna watu wanavyoadhibiwa na wanasiasa...
  16. Serikali, zungushieni uzio wa katika eneo watu wanapoteka maji na kuoga huko Buchosa, Sengerema kuepuka hatari za kushambuliwa na mamba

    Leo nimesikia habari ya mwanamke aliyeliwa na mamba huko Buchosa Sengerema na kuhuzunika sana.tunaiomba serikali itenge eneo ambalo watu watachota maji na kuogelea kisha waweke nguzo na seng'enge zitakazokuja mpaka nchi kavu na waweke geti ili mamba asiweze kutoka nje ya ziwa na kujichomeka eneo...
  17. GE2020 Prof. Lipumba akiwa Liwale: Nitakuwa Rais msikivu na nitaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    NITAKUWA RAIS MSIKIVU NA NITAUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA " PROF.LIPUMBA" LIWALE Nchi yetu imejaa ufisadi, ubinafsi, migawanyiko, kuumizana, ubaguzi, kutokuaminiana, chuki, kukata tamaa na huzuni. Haya ni majeraha yanayohitaji kutibiwa na kuwarejeshea wananchi matumaini. Tumefikia hapa...
  18. CCM kuweni waangalifu, Chama kimetekwa na serikali?

    Kwa kanuni za msingi kabisa chama maana yake ni matakwa ya wanachama. Iwe kiitikadi, kimaslahi au hata kimatarajio. CCM imeanza kupoteza kwa kasi misingi hii ambayo inajengwa kwa ushawishi wa wanachama. Hii ni hatari. Katika kampeni tunazoziona Mwenyekiti wa chama hana tofauti na rais wa...
  19. Ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuwapeleka Polisi kutembelea wenzao wa Ujerumani, Uingereza, Australia, Ufaransa, China & USA kubadilishana uzoefu

    Nadhani ili kubadilishana uzoefu wa kazi ni vyema polisi wetu wakawezeshwa na Serikali kwenda nchi nilizozitaja hapo juu kuona wenzao wanafanyeje, ili kama kuna mapungufu wayajazilishie na kama wenzao wanayo wawajazilishie Mfano wataangalia selo zao na aina ya bajeti waliyojiwekea ktk...
  20. Serikali yakopa Tsh. Bilioni 136.85 kwa ukarabati na upanuzi wa viwanja vinne vya ndege ili viwe na kiwango cha Kimataifa

    Serikali imezindua mradi wa ujenzi, ukarabati na upanuzi wa viwanja vinne vya ndege vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe na kiwango cha kimataifa, utakaogharimu shilingi bilioni 136.85. Akizindua ujenzi wa mradi huo jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…