masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,853
- 13,137
Kwa kanuni za msingi kabisa chama maana yake ni matakwa ya wanachama.
Iwe kiitikadi, kimaslahi au hata kimatarajio.
CCM imeanza kupoteza kwa kasi misingi hii ambayo inajengwa kwa ushawishi wa wanachama.
Hii ni hatari.
Katika kampeni tunazoziona Mwenyekiti wa chama hana tofauti na rais wa dola.
Analindwa, tena kwa mitutu wazi wazi, na vyombo vya dola.
Mwenyekiti walinzi wake wa serikali wamevaa nguo za chama.
Magari yote ya msafara, tunajua ni ya serikali, sasa yanatumika moja kwa moja na chama.
Kuna mmoja akadiriki kusema ma V8 ya chama ndio mafanikio ya chama.
Idara za maadhimisho kitaifa, idara ya serikali, kutumika moja kwa moja na chama.
Sasa mtu anajiuliza chama kimeishia wapi na dola imeanzia wapi.
Increasingly inaonekana kwamba sasa tunaipigia kura serikali.
Bashiru ana kazi kubwa ya kupambanua kwamba nyomi zinazoonekana si lazima ziwe za wafuasi wa chama, bali wananchi waliokusanywa na serikali vijijini ili kuishangilia serikali.
Mioyoni mwao kuna vitu tofauti kabisa.
Mwalimu aliwahi kusema Tujisahihishe.
Nami nilikuwa operation hiyo ya JKT, 1977.
Iwe kiitikadi, kimaslahi au hata kimatarajio.
CCM imeanza kupoteza kwa kasi misingi hii ambayo inajengwa kwa ushawishi wa wanachama.
Hii ni hatari.
Katika kampeni tunazoziona Mwenyekiti wa chama hana tofauti na rais wa dola.
Analindwa, tena kwa mitutu wazi wazi, na vyombo vya dola.
Mwenyekiti walinzi wake wa serikali wamevaa nguo za chama.
Magari yote ya msafara, tunajua ni ya serikali, sasa yanatumika moja kwa moja na chama.
Kuna mmoja akadiriki kusema ma V8 ya chama ndio mafanikio ya chama.
Idara za maadhimisho kitaifa, idara ya serikali, kutumika moja kwa moja na chama.
Sasa mtu anajiuliza chama kimeishia wapi na dola imeanzia wapi.
Increasingly inaonekana kwamba sasa tunaipigia kura serikali.
Bashiru ana kazi kubwa ya kupambanua kwamba nyomi zinazoonekana si lazima ziwe za wafuasi wa chama, bali wananchi waliokusanywa na serikali vijijini ili kuishangilia serikali.
Mioyoni mwao kuna vitu tofauti kabisa.
Mwalimu aliwahi kusema Tujisahihishe.
Nami nilikuwa operation hiyo ya JKT, 1977.