sera

"Que Sera, Sera (Whatever Will Be, Will Be)" is a song written by the team of Jay Livingston and Ray Evans that was first published in 1956. Doris Day introduced it in the Alfred Hitchcock film The Man Who Knew Too Much (1956), singing it as a cue to their onscreen kidnapped son. The three verses of the song progress through the life of the narrator—from childhood, through young adulthood and falling in love, to parenthood—and each asks "What will I be?" or "What lies ahead?" The chorus repeats the answer: "What will be, will be."
Day's recording of the song for Columbia Records made it to number two on the Billboard Hot 100 and number one in the UK Singles Chart. It came to be known as Day's signature song. The song in The Man Who Knew Too Much received the 1956 Academy Award for Best Original Song. It was the third Oscar in this category for Livingston and Evans, who previously won in 1948 and 1950. In 2004 it finished at number 48 in AFI's 100 Years...100 Songs survey of top tunes in American cinema.
It was a number-one hit in Australia for pop singer Normie Rowe in September 1965.
The song popularized the title expression "que sera, sera" as an English-language phrase indicating "cheerful fatalism", though its use in English dates back to at least the 16th century. Contrary to popular perception, the phrase is not Spanish in origin, and is ungrammatical in that language.

View More On Wikipedia.org
  1. Jidu La Mabambasi

    Sera za kuwabeba "masikini" zinaua miji

    Sasa hivi kuna sera zisizo rasmi za kuwabeba ati watu "masikini". Nawawekea mfungo hao "masikini" maana hata definition yao katika jamii hawajulinani. Humo kuna mama lishe, machinga na wengine wengi. Kundi hili kwa sasa, hasa jiji la DSM, limeendekeza uchafuzi wa mazingira mkubwa sana...
  2. Analogia Malenga

    Sera ya kupunguza uzito iliyotumika Mexico

    Mwaka 2013 Mexico ilitajwa na Umoja wa Mataifa kuwa na watu 32.8% ambao wamezidi uzito. Ili kudhibiti hilo serikali iliweka kodi kubwa kwenye vinywaji vyenye sukari. Katika hatua nyingine waliweka mashine zinazohesabu kiasi cha kuchutama na kuinuka ‘Squats’ ambapo waliweka mtu akipiga Squats 10...
  3. J

    Kwa sasa CHADEMA inafuata sera gani au ni hii ya mapambano dhidi ya Covid 19?

    Kwa sasa haieleweki chama kikuu cha upinzani CHADEMA kinafuata sera gani pamoja na ukweli kuwa wako mstari wa mbele kulihabarisha taifa athari za Covid 19. Je, kwa sasa CHADEMA imeamua kujikita zaidi kwenye sekta ya afya na vifo vitokanavyo na magonjwa ya kuambukiza? Nawatakia Kwaresma yenye...
  4. Naantombe Mushi

    Kinachoigharimu Tanzania ni kukosekana kwa watunga sera wanaoelewa 'Public Policy'

    Ni sahihi pia kusema Tanzania kuna 'Public Policy Crisis'. Ntatumia neno Sera nikimaanisha 'Public Policy'. Sera ni nini? Sera unaweza kusema ni sheria au miongozo ambayo inawekwa ili kutatua changamoto ambazo zipo kwenye jamii. Maana yake ni kwamba, ukiona kuna sera ambazo hazitatui changamoto...
  5. boniuso

    Ni wazi kuwa baadhi ya Wabunge wamekosa sera au waliingia Bungeni bila kujua wajibu wao

    Hilo nililolisema naamini kila mmoja wetu humu kama ni mfuatiliaji wa Bunge atakuwa ameliona 1. Hoja za wabunge juu ya kumuongezea rais muda wa uongozi. Swali fikirishi hapa ni ‘Je, ni kweli hiki ndicho wananchi wa baadhi ya majimbo wanakitaka kutoka kwa wabunge wao?’ Yaani hawataki shule...
  6. Miss Zomboko

    Rais wa Zanzibar asema kuna haja ya kubadilisha sera ya Elimu ili iendane na mabadiliko yanayotokea

    Rais wa Zanzibar, Dk Hussein amesema kuna haja ya sera ya elimu visiwani humo kuwa ya kisasa zaidi ili kuendana na mabadiliko mbalimbali yaliyotokea katika sekta hiyo. Dk Mwinyi amebainisha hayo leo alipokutana na wadau wa sekta ya elimu Mjini Unguja. “Baada ya kusikiliza maoni ya wadau...
  7. Abdul Nondo

    Kwanini Serikali haitekelezi sera ya Elimu ya 2014. Ila bado 95% tunatekeleza sera ya Elimu ya 1995 ambayo tayari imefutwa?

    Juzi Alhamis nilialikwa ITV, Malumbano ya Hoja kuhusu Mfumo wetu wa elimu. Ukweli ni kwamba nchi yetu tuna sera nzuri sana ya 2014 na ilizinduliwa na Kikwete kwa Shamrashamra watu wakisifu sasa tunakwenda kuleta mapinduzi ya mfumo wetu wa elimu nchini ,ila hadi sasa tunatekeleza sera ya elimu...
  8. J

    Nikiangalia Rais Biden anavyofuta sera za mtangulizi wake ni wazi Tundu Lissu angeshinda angeirudisha Serikali yote Dsm!

    Natafakari tu. Iwapo makao makuu ya CHADEMA bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma. Je, unadhani ni nini Tundu Lissu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma...
  9. Hisha Sorel

    Wale wakeleketwa wa Upinzani emu tuelimisheni sera zenu kwenye vipengele vifuatavyo kwani huwa siwaelewi kwani huwa mna-contradiction nyingi

    Edit: Inaonekana wapinzani wenyewe dont know direction ya kisiasa ya vyama vyao kwani: 1. wanasahihisha lugha kwa typos za mwandishi (michapio) midogo midogo bila sababu 2. wanatukana mwandishi hii ni sign tosha ya mtu asiejua jibu jamii forum (personal attacks or ad hominem nawapa pole in...
  10. Sam Gidori

    WhatsApp yasogeza mbele muda wa kuanza kutumika rasmi kwa sera yao mpya ya faragha

    Baada ya sintofahamu iliyoendelea kwa muda wa wiki moja sasa, WhatsApp imesema kuwa inasogeza mbele muda wa kukubaliana na sera yake mpya ya faragha hadi Mei 15, 2021 badala ya tarehe ya awali iliyokuwa imewekwa ya Februari 8. Katika chapisho la blogu, kampuni hiyo ya mawasiliano inayomilikiwa...
  11. Analogia Malenga

    India: Wafanyabiashara waomba WhatsApp na Facebook vizuiwe kutokana na sera mpya

    Shirikisho la Wafanyabiashara wa India (CAIT) limeiomba serikali izuie mtandao wa WhatsApp, Facebook na Facebook Messenger kutokana na sera mpya ya Faragha. Wafanyabiashara wamemuandikia Waziri wa Habari na Teknolojia kuwa India inawatumiaji zaidi ya milioni 200 hivyo kuchukua taarifa zao kwa...
  12. Sam Gidori

    Sera mpya ya faragha ya WhatsApp inavyowafukuza wateja

    Mapema wiki hii, programu tumishi ya mawasiliano ya WhatsApp ilianza kutoa taarifa kwa watumiaji wake wa Android na iOS kuhusu mabadiliko ya sera ya matumizi na sera ya faragha, ikiwafahamisha wateja wake kuhusu jinsi mtandao huo utakavyomudu taarifa binafsi za watumiaji wake. Sera hizo mpya...
  13. E

    Tujadili mapungufu ya Sera yetu ya Viwanda. Unadhani ina mapungufu gani?

    Habari za leo wakuu, Uzii huu utakuwa maalum kuijadili sera yetu ya viwanda. Bila kutukana wala kumnyoshea mtu yeyote kidole, naomba kila mmoja atoe maoni yake. Mada: Wewe unahisi sera yetu ya viwanda ina mapungufu gani? Zingatia ili taifa letu liweze kuendelea linahitaji kuwa na sera bora...
  14. Sarikiaeli

    Tukumbushane! Mwongozo wa utoaji wa vibali vya ujenzi na usimamizi wa ujenzi wa majengo kwenye mamlaka za serikali za mitaa

    TAMKO LA WAZIRI WA NCHI NA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Walengwa wa Mwongozo huu ni Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi mbalimbali za Serikali zinazoshughulika na Ujenzi wa majengo, waendelezaji, wawekezaji wa ndani na nje pamoja, wananchi na wadau wengine...
  15. Deogratias Mutungi

    Sera ya Rais Mwinyi ya Uchumi wa Bahari " Blue Economy" ni alama ya ukombozi kwa wanyonge kiuchumi

    Salaam Wana JF. Wakati wa kipindi cha kampeni Rais wa sasa wa Zanzibar aliongelea kwa kina maono yake na mtazamo wake juu ya uchumi wa baharini yaani "blue Economy" bila shaka hii ilikuwa ni ahadi nzuri na sera yenye mantiki katika kukuza uchumi wa watu wa Zanzibar hasa wanyonge, kwa maana...
  16. A

    Serikali pitieni upya Sera ya 'Elimu Bure', ikiwezekana ifutwe kabisa

    Ingawa ni jambo jema kwa serikali kutoa elimu bure ili kusaidia watoto watokao kaya maskini kupata elimu ya msingi lakini huu mpango unafaa kuangaliwa upya kwa sababu utekelezaji wake una hasara nyingi kuliko faida. Hasara ya kwanza: Tangu kuanzishwa kwa sera ya elimu bure, serikali imeshindwa...
  17. josias

    Network marketing (biashara mtandao), sekta muhimu kwa uchumi ambayo inahitaji kutolewa elimu na kutungiwa sera

    WTF
  18. D

    Tuliporuhusu sera ya 50 kwa 50 dhidi ya wanawake tulikosea

    Katika Sera mbovu Viongozi walizokosea, ni hii Sera ya 50 kwa 50! Mtakumbuka mwanzoni mwa miaka ya tisini na mapema miaka ya 2000; Sera ya elimu ilianza kuwabeba wanawake kwenye ufaulu! Wanawake waliopata madaraja ya chini ya ufaulu (lower division), walipewa kipaumbele cha kuchaguliwa...
  19. YEHODAYA

    Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio

    Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio. Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi. Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu. Mfano CCM...
  20. B

    GE2020 Ushauri kwa vyama vyote kuelekea ukingoni mwa uchaguzi: Tupande Uhuru na Haki tukavune Amani na Mshikamano kwa taifa letu

    Mabibi na mabwana heshima kwenu. Hapa ni ushauri wa bure kwao vyama vyote watia nia kuelekea lala salama katika uchaguzi huu. Zimekuwapo changamoto nyingi katika kufikisha ujumbe kwa wapiga kura. Pana vyama waziwazi vimekuwa vikibebwa na vyombo vya habari (vya umma na hata vya binafsi hali...
Back
Top Bottom