johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,362
- 138,513
Kwa sasa haieleweki chama kikuu cha upinzani CHADEMA kinafuata sera gani pamoja na ukweli kuwa wako mstari wa mbele kulihabarisha taifa athari za Covid 19.
Je, kwa sasa CHADEMA imeamua kujikita zaidi kwenye sekta ya afya na vifo vitokanavyo na magonjwa ya kuambukiza?
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama.
Je, kwa sasa CHADEMA imeamua kujikita zaidi kwenye sekta ya afya na vifo vitokanavyo na magonjwa ya kuambukiza?
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama.