sana

The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا)‎, al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.

View More On Wikipedia.org
  1. Its Tesha

    Msiwe serious sana na kazi ni muda wa mapumziko ofisini

  2. sanalii

    Samia ameutia aibu sana umma wa Kiislam Tanzania.

    Uongozi chini ya waislam ulisifika kwa utulivu na upole, watu waliamin nchi rais akiwa muislam inakuwa tulivu, ukijumlisha na yeye kwenda kumuangalia Tundu Lissu Nairobi, basi watu walifurahi sana na alipokea sifa kedekede. Kumbe ni vile hakuwa na power, sasa amepata power, ameharibu sifa zote...
  3. Mto wa mbu

    GE2025 Kulikoni mbona maandamano Yana trend sana kuliko uchaguzi?

    Huyu aliyepanga maandamano siku ya uchaguzi nimpe maua yake Sasahivi kwenye Kampeini za uchaguzi wazungumzaji wote wanazungumzia maandamano tu. Madaraja makubwa kama Tazara,Kuta za majengo ya serikali yameanza kuchorwa SAMIA MUST GO. Hii kwangu sio good sign. Leo hii Samia ni wakuwaambia...
  4. Madwari Madwari

    Sisi watanzania kuwafikia wakenya kwenye kujitafuta bado sana

    Hii video ikionyesha wakenya wakiwa katika vita vya Ukraine na Urusi
  5. balibabambonahi

    Huyu mtu alitunyanyasa sana

    Siungi mkono kutekwa Kwake na si shabiki wa watesi wa Watanzania. Ukweli ni kwamba alitusaliti na kutubana ga.Wakati ule anatutambia na alichokiita yeyə Viety alitupitisha via də la rosa.Watanzania tuwe na msimamo, Huyo ni ntu wao, wanajua watendalo ni Mambo yao.
  6. Raia Fulani

    Ni kwamba sura ya Nyerere ni abstract sana au mwenyewe hataki?

    Habari wakuu Tangu nimeanza kuona picha za kuchora na za kuchonga za Hayati Mwenyeheri, Nyerere, haijawahi tokea siku wakamchora sahihi. Au wakamchonga sahihi. Kwamba hii nchi inashindwa kuipa heshima sura ya Baba wa Taifa? Naomba tu hili nimkabidhi Andrea Nyerere adili nalo kuhakikisha...
  7. Lord Denning

    Kazi ni rahisi sana Oktoba 29

    Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba. Siku hiyo kazi ni rahisi sana Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu. Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu...
  8. Yoda

    GE2025 Nyuzi mfululizo za kubeza, kutisha na kukatisha watu tamaa dhidi ya kutoka badala ya kutiki Oct 29 zinachefua na kukera sana

    Wiki ya pili sasa kuelekea October 29 kumeibuka mfululizo wa nyuzi nying za ajabu ajabu za watu wanaojiona ni wazee wa busara wakibeza, kutisha na kukatisha tamaa raia wanaopanga au kuhamasisha kutoka na kupaza sauti kwa maandamano dhidi ya mfumo dhalimu na kandamizi wa haki. Utitiri wa hizi...
  9. R

    GE2025 Amenikera sana POLEPOLE! Alijiaminisha na nini kuwa hapa nchini! Umesaliti mapambano! Sterling hafi, anadumu movie iendelee. Sasa Umekufa!

    Ni hilo tu! Shujaa mfu! Ilibidi uhakikishe hufi mpaka uone mwisho wa mapambano yako! SHUJAA MFU, HAIJATUSAIDIA
  10. Mad Max

    Car Service Episode 3/10: Power Steering Fluid na Differential Fluid kuzibadirisha ni bei ndogo ila ni muhimu sana!

    Power Steering Fluid na Differential Fluid zipo kwenye kundi la fluids ambazo uwa zinapotezewa sana wakati wa kufanya service, ilihali gharama zake ni ndogo kuzidi ata faini moja ya trafiki. POWER STEERING FLUID Power steering fluid inasaidis pampu ya steering kufanya kazi vizuri, kwa kufanya...
  11. baz kaiza

    Tafadhali Sana tunaomba mwacheni Polepole hii Nchi yetu sote

    Tafadhali tena naomba wakuu mwacheni Polepole kama ana kosa tunaomba sheria ifuate mkondo wake. Tunaomba Polepole achiwe bila masharti yoyote. Tafadhali Sana tunakoenda siko mwacheni Polepole
  12. Beira Boy

    GE2025 Swali hili la Kiranga kwa Polepole lilipuuzwa: What is Polepole's strategy? Lilifanya Kiranga atukanwe sana

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ukiachana na maumivu makali sana niliyo nayo lakin swali la kiranga bado linaniumiza kichwa na linanifunza mengi na linanifanya nisimuelewe kabisa polepole Nakuombea polepole MUNGU MWENYEZI akulinde sana Nakuombea Tanzania ukomboz wako...
  13. Its Tesha

    Watu wa Sengerema mnazingua sana mnawasha tochi mchana?

    Katika tukio la ovyo ni hili lakuambiwa washa tochi mchana halafu mnawasha kweli hii nature ya watu wa Sengerema manzingua sana mnawasha tochi mchana huu kweli au ni usiku huko Mwanza?. Oky Byee..!!!!!
  14. Scared

    Polepole alikuwa anafanya vitu kijinga sana sijui alikuwa anaficha ficha nini kuongea kwa code

    Yaani alikuwa kila siku anaongea kwa kuficha ficha anaacha kumwaga Kila kitu hadharani sijui alikuwa anaficha ficha nini mwisho wa siku wamemnyakua kabla hata mengine hajaongea Kapata alichokuwa anakitafuta. Kama umeamua kumwaga mambo Yao wewe nyooka tu kama Kapteni Tesha sio unaongea kwa...
  15. Sales man

    Watanzania kuwapambania inahitaji moyo sana

    Issue ya Polepole imeonesha wazi kuwa kumpambania mbongo inahitaji moyo. Nilitegemea watu wawe barabarani wakishinikiza kuachiwa Polepole.
  16. darautobroker

    Car4Sale MITSUBISHI RVR ya moto sana iko sokoni

    Bei/Price TSH 21.8M Call +255 747 999 927 MITSUBISHI RVR Year: 2010 Engine: 1,780Cc Mileage: 64,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  17. Waufukweni

    Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele

    Augustino Polepole, ambaye ni kaka yake Humphrey Polepole, amethibitisha kuwa ndugu yake ametekwa na kumtaja afisa wa polisi aitwaye Mafwele, ZCO wa Jeshi la Polisi Tanzania, kuwa anahusishwa na tukio hilo usiku wa kuamkia leo Oktoba 6, 2025. ‎Aidha, Agustino ameeleza kuwa mdogo wake ana kifaa...
  18. D

    Hata Capt. Traole awali alipingwa sana na wahuni wanaoitafuna nchi lakini Mungu almsaidia: Hivyo Msiwashangae hawa

    Mnamo mwaka 2022 jina la kapteni Traore liliibuka huko Nchini Bukina faso baada ya utawala goigoi wa rais DAMIBA Malalamiko ya wananchi kushambuliwa yalikuwa makubwa sana jambo lililoibua taharuki kubwa sana wakati huo! Vijiji na miji mbali mbali ilishambuliwa pasipo serikali ya Damiba...
  19. Sales man

    Nadhani huu ndo uchaguzi Mgumu sana kwa ccm kuwahi kutokea.

    Naona Ccm Kama watatoboa safari hii kurudi ikulu, basi sioni Kama ccm itatoka madarakani kirahisi tena.
  20. Kipenzi Changu

    Nafarijika sana na Return of Chid Benz

    Mimi ni mpenzi wa Rap, ndio mziki unaosuuza moyo wangu sana kuliko miziki yeyote ya kidunia. Nilikuwa kila nikisikia habari za Chid Benz na Jose Mtambo nasikitika sana. Sababu hawa ndio watu nilioona wana vibaji halisi na sio kubebwa. Sasa Chid karudi, nimefarijika sana
Back
Top Bottom